Kwa wanaofahamu,
Naomba kufahamu namna ya kufungua zile channel zinazo kuwa encrypted.
Kwa wale waliowahi kutumia hizo DECODA za Star Times wanaifahamu ile alama ya dolla
($) ambayo huwa inatokea kwenye channel zisizoonesha hata kama muda wa kulipia bado.
Hii hutokea kwa baadhi ya channel.(kama 5 hivi)
Pia naomba kuongeza swali jingine,
Hivi kunauwezekano wa kuona channel nyingine kama ITV kwenye hizo DECODA?
Asanteni sana.
Naomba kufahamu namna ya kufungua zile channel zinazo kuwa encrypted.
Kwa wale waliowahi kutumia hizo DECODA za Star Times wanaifahamu ile alama ya dolla
($) ambayo huwa inatokea kwenye channel zisizoonesha hata kama muda wa kulipia bado.
Hii hutokea kwa baadhi ya channel.(kama 5 hivi)
Pia naomba kuongeza swali jingine,
Hivi kunauwezekano wa kuona channel nyingine kama ITV kwenye hizo DECODA?
Asanteni sana.