Naomba Mnijuze Tafadhali

hebu nyinyi scientist mtutafsirie kwa nini watu huota ndoto
na wengine ndoto zao huwa kweli???????????

Mkuu hayo ni mambo mengine kabisa...ndoto ni yale unayoyafikiria wakati umelala. Kuna maelezo mazuri tu ya kisayansi. Unaweza ku-gogole ukajisomea!
 
Nobody is blaming anybody.
Ynatokea hata kama hujawahi kushuhudia au hutaki kuamini jua wapo wenzio wanaoambukizwa bahati.



Babu...ohh sorry i mean Mzee DC ngoja nikutajie vichache tu alafu uniambie kwanini tunaviamini wakati havijathibitishwa kisayansi.
1.Laana toka kwa mzazi.Wengi wanawaogopa na kuwaheshimu wazazi wao/wakubwa wao kwa kuogopa kuachiwa laana.Inawezekana na wewe usiwe unaamini hili ..binafsi hua sijui nini cha kufikiria ila wapo watu ambao yamewakuta yasiyo kufuatia maneno ya kuonyesha hasira/unyonge toka kwa wazazi/wakubwa wao.

2.Jina/maneno kumjenga mtu/kumbomoa mtu....

3..........


Hapo kuna aina fulani ya utata.....Umenikumbusha story kuwa mtu akitukanwa na mzazi kwa kumvulia nguo na kumwonesha utupu wake lazima atakuwa kichaa...

I have never witness, kwa hiyo siwezi kuprove au disprove!
 
Kwa hapo mkuu umefika level ya juu sana... Kwa hiyo mzungu ndo itakuwa balaa!!!

mimi naamini watu wanaochanganya damu
au kuchanganya makabila
wanapunguza sana mikosi lol
wanajisafisha na mikosi ya asili lol
 
mimi naamini watu wanaochanganya damu
au kuchanganya makabila
wanapunguza sana mikosi lol
wanajisafisha na mikosi ya asili lol


Kwa kweli mimi siamini kitu cha namna hiyo kwani wapo machotara kibao wanaishi maisha ya hovyo sana!
 
Mkuu hayo ni mambo mengine kabisa...ndoto ni yale unayoyafikiria wakati umelala. Kuna maelezo mazuri tu ya kisayansi. Unaweza ku-gogole ukajisomea!

maelezo ya kisayansi hayajitoshelezi
mfano mi nikiota napaa
basi kesho yake huwa napata good news financially
always....
 
hebu nyinyi scientist mtutafsirie kwa nini watu huota ndoto
na wengine ndoto zao huwa kweli???????????

Naam boss kuna mambo mengine hayawezi kabisa kuelezewa kwa kutumia sayansi, lakini hili la "mwanamke/mwanaume yule ananiletea mikosi/bahati sana" lipo tu na wengine hufikiria hata kuvunja mahusiano ili abahatishe kumpata yule atakayemletea bahati hasa kwa vishawishi toka ndugu, jamaa na marafiki kwa kutumia mifano hai iliyomtokea muhusika baada ya kuwa na huyo "mleta mikosi".
 
Kwa kweli mimi siamini kitu cha namna hiyo kwani wapo machotara kibao wanaishi maisha ya hovyo sana!

unaweza usiamini but mimi nna ndugu machotara
ambao elimu yao ya kawaida but always wako better off kulinganisha na ndugu wengine ambao wamesoma sana
could be culture
but nafikiri kuna kitu kimejificha
 
hivi vitu vinaongeza bahati sana believe me

1.kuoa rangi au kabila tofauti
2,kuishi ghorofani
3.kuvaa nguo mpya na safi kila mara
4 kutoa sadaka na kusaidia watu
5 kucheka na kuongea maneno mazuri kila mara
6 kusamehe
7.kulea watoto yatima na wanyonge wengine
8.kusaidia watoto wadogo na wajane

jaribu uone
 
ukitaka mikosi fanya haya

1dhulumu watu mali zao au haki zao
2.kuua mtu
3.kwenda jela
4.kushiriki sex na wanyama au ndugu wa damu au mzazi
5 kuwa na roho mbaya
6 kutosamehe
7.kuwakasirisha wazazi wako au mkeo au watoto wako

na mengine mengi
 
mikosi mingine inasababishwa na ushirikina
na uchafu wa ngono wa kupitiliza
 
mimi nna ndugu wahindi na waarabu na waswahili tele

kuna vitu wahindi na waarabu hufanya sisi waswahili tunadharau

mfano kupenda kuishi ghorofani hata kama ni ghali mara tatu ya nyumba ya chini...
it turn out wanahusisha na bahati na kadhalika

jiulize wahindi wa tanzania mbona hawapendi kuishi nyumba za chini?
 
Hapa ambacho huwa kinazungumziwa nadhani ni kile kwa Kiingereza kinachoitwa 'influence'. Kuna watu ambao ukiwa nao basi wataku-influence kichanya zaidi na wengine ambao wataku-influence kihasi zaidi.

Ukiwa karibu na mtu mwenye bidii, nidhamu, na juhudi ya utafutaji uwezekano wa wewe kuwa na hizo sifa bainishi (traits) ni mkubwa sana. Na ukiwa hivyo basi hata mafanikio utayaona. Lakini ukiwa na mtu asiye na hizo sifa bainishi halafu ndo uwe umetoka kwa mtu aliyekuwa nazo, basi sitashangaa ukijiona labda una mikosi.

Nafikiri kuna uwezekano huu..tuiite influence ambapo ili kupata ukweli kama kuna mtu mfano MTM ambaye anawezakuchanganua baadhi ya mambo yaliyokuwa yanafanywa na hao waliokuwa na nyota hafifu na wenye nyota njema. Mfano....
1, Mwanamke ambaye unahisi alikuwa/ana nyota nzuri anaparticipate vipi kwenye maisha yako kikazi, biashara au kimaisha tu kama kukushauri, kukutia moyo na kukupush katika kuhangaikia maisha............... na je hii iko tofauti kwa yule ambaye tunawezasema ana mkosi??
2. What other factors outside or around her ambazo zinawezakuwa zilichangia hayo mafanikio au failure yako? na
3. Je wewe mwenyewe umechangia kiasi gani katika hali hiyo uliyokuwa nayo wakati uko na any of the two.mfano unawezaukawa hujaitambua hamani au talent yako au kuwa na imani kuwa unawezafanya mambo makubwa sana so ukipata mwanamke ambaye naye atakuwa anakuchukulia kwa mtazamo wako kuwa yes hawezi basi unawezaona difference kubwa pale utakapokutana na yule ambaye anakupa moyo na kukuonyesha kuwa unaweza and the sky is the only limit.........kwa sababu utafanya kwa kuwa una suport na ukifanikiwa jambo lolote utasema ana kismeti au nyota njema.
 
mimi nna ndugu wahindi na waarabu na waswahili tele

kuna vitu wahindi na waarabu hufanya sisi waswahili tunadharau

mfano kupenda kuishi ghorofani hata kama ni ghali mara tatu ya nyumba ya chini...
it turn out wanahusisha na bahati na kadhalika

jiulize wahindi wa tanzania mbona hawapendi kuishi nyumba za chini?

Really? basi kwa mawazo yangu yote wanakaa maghorofani chini waweke maduka!
Kumbe wenzetu wanazitegea bahati huko huko juu kwa juu? aisee!
 
hakuna cha influence

mwanamke mshirikina na ambaye ameshaua huko nyuma
atakuwa na mkosi tu

ukilinganisha na mwanamke mwenye roho safi
na hana damu mikononi mwake
 
:confused2:
Hii mada imenigusa haswaa!Binafsi niliwahi kuwa na rafiki enzi hizo 2001,tulitoka outing for dinner,lunch na nyingine nyingi,nafikiri alinipenda but nilimkalisha chini na kumweleza kuwa we cant be more than friends kwani he was dating diff girls each day.What happened alillalamika kuwa amekuwa na bahati na mimi ie mambo yake mengi yamekuwa yakienda vizuri kila anapokuwa nami??!!Na kumbe alipokuwa na jambo lake anafuatilia,lazima anitoe outng yaani awe karibu then ndio akafuatilie(hayo aliniambia mwenyewe) na lazima anafanikiwa.

Nilikata hata urafiki kwani nilihisi kinachomsukuma kwangu ni hiyo anayosema bahati.Akaoa nami nikaolewa.Very resently kanza tena,eti anajua mimi ndio nina future yake,yaani mafanikio yake ya baadae lazima yapitie kwangu.Simuelewi hata kidogo.

So nikirudi kwa mjukuu,possibly jambo hili lipo.
 
jiulize wahindi wa tanzania mbona hawapendi kuishi nyumba za chini?

Mbona Wahindi wa sehemu zingine wanaishi kwenye nyumba za chini na tena wengine nyumba zao zina basements. Sasa kulikoni hawa Wahindi wa Tanzania na nyumba za chini?
 
Nafikiri kuna uwezekano huu..tuiite influence ambapo ili kupata ukweli kama kuna mtu mfano MTM ambaye anawezakuchanganua baadhi ya mambo yaliyokuwa yanafanywa na hao waliokuwa na nyota hafifu na wenye nyota njema. Mfano....
1, Mwanamke ambaye unahisi alikuwa/ana nyota nzuri anaparticipate vipi kwenye maisha yako kikazi, biashara au kimaisha tu kama kukushauri, kukutia moyo na kukupush katika kuhangaikia maisha............... na je hii iko tofauti kwa yule ambaye tunawezasema ana mkosi??
2. What other factors outside or around her ambazo zinawezakuwa zilichangia hayo mafanikio au failure yako? na
3. Je wewe mwenyewe umechangia kiasi gani katika hali hiyo uliyokuwa nayo wakati uko na any of the two.mfano unawezaukawa hujaitambua hamani au talent yako au kuwa na imani kuwa unawezafanya mambo makubwa sana so ukipata mwanamke ambaye naye atakuwa anakuchukulia kwa mtazamo wako kuwa yes hawezi basi unawezaona difference kubwa pale utakapokutana na yule ambaye anakupa moyo na kukuonyesha kuwa unaweza and the sky is the only limit.........kwa sababu utafanya kwa kuwa una suport na ukifanikiwa jambo lolote utasema ana kismeti au nyota njema.

mnh,

Mwj1 leo una maswali magumu mydear. Vichwa vimechoka mida hii,...

ƒ −1[c] = {(a1,...,an) ∈ T1×···×Tn | ƒ (a1,...,an) = c}

...am out!
 
mnh,

Mwj1 leo una maswali magumu mydear. Vichwa vimechoka mida hii,...

ƒ −1[c] = {(a1,...,an) ∈ T1×···×Tn | ƒ (a1,...,an) = c}

...am out!

Hahahahah! lol! Kumbe eeh! unaonekana mkali sana wa madudu haya
:focus:
 
mnh,

Mwj1 leo una maswali magumu mydear. Vichwa vimechoka mida hii,...

ƒ −1[c] = {(a1,...,an) ∈ T1×···×Tn | ƒ (a1,...,an) = c}

...am out!

Hahahah Mbu bwana...........we ulikimbia kusoma masomo ya Essay loh
pole bana
 
Back
Top Bottom