Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
hebu nyinyi scientist mtutafsirie kwa nini watu huota ndoto
na wengine ndoto zao huwa kweli???????????
Mkuu hayo ni mambo mengine kabisa...ndoto ni yale unayoyafikiria wakati umelala. Kuna maelezo mazuri tu ya kisayansi. Unaweza ku-gogole ukajisomea!