Naomba CV ya RAGE kwa kuwa anawezaje kudanganya watu wazima kiasi hiki?Kwa mfano rufaa ya Yondani eti anapeleka rufaa ya mchezaji aliyesaini miezi mitatu mbele,kweli unaweza kupeleka kwa wanaume rufaa kama hiyo, halafu aliwadanganya wanyamwezi ana familia wakampa uenyekiti wa wa wazazi, Rage ana familia gani si mhuni tu, anatumia elimu gani kudanganya watu kiasi hiki? kama ana familia basi labda iko inje ya inchi atakakokimbilia pindi uwongo wake utakapo fubaa.
=====
=====
Member of Parliament CV
GENERAL Salutation Honourable Member picture
First Name: Ismail Middle Name: Aden Last Name: Rage Member Type: Constituency Member Constituent: Tabora Mjini Political Party: CCM Office Location: Box 84, Tabora Office Phone: +255 784 261761/+255 655 000891 Ext.: Office Fax: Office E-mail: irage@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth 3 January 1953
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date LevelTown Primary School Primary Education 1961 1964 PRIMARYMihayo Primary School Primary Education 1965 1965 PRIMARYUrambo Extended Primary School Primary Education 1966 1967 PRIMARYUyui Secondary School O-Level Education 1968 1971 SECONDARYCollege of Business Shinyanga Accountancy 1972 1973 CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To DateThe Parliament of Tanzania Member - Tabora Town Constituency 2010 2015Private Sector Director 1986 2010The Capital Development Authority (CDA), Dar Es Salaam Director 1977 1985East African Airways Assistant Accountant 1974 1976
POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From ToChama Cha Mapinduzi, CCM 2004 Todate
Ila katika CV hii toka office ya bunge mengi ni uwongo kama kuajiliwa CDA hakuwa Director elimu yake haimwezeshi kuwa Director bali katika shirika hilo alikuwa ni CLEARING AND FORWARDING CRACK .Kuchukua vitu bandarini na kuvipeleka CDA DODOMA
Pia katika CV hii toka bungeni imeficha mengi mfano kufukuzwa kazi CDA na Rais Nyerere kutokana na wizi wa furniture toka Zimbabwe kwenda Chamwino Ikulu.
Pia imeficha alivyofungwa kwa wizi wa Mpira ya fifa kwa wakati huo FAT akiwa ni katibu mkuu wa shirika hilo na kuachiwa kwa msamaha wa rais na baadae kushinda kwa rufaa.
Pia CV toka ofisi ya bunge imeficha Rage Kukatwa jina baada ya kuongoza kura za maoni jimbo la Tabora mjini mwaka 1995 baada ya TAKURU wakati huo kumhisi alitoa mlungula kwa wajumbe akitumia randrover 109
CV ya Rage toka bungeni imeficha alivyokula pesa za yanga toka CAF baada ya timu hiyo kufuzu nane bora
Pia katika CV toka office ya bunge halipo suala la kula fadha za rambirambi za Mafisango kwani alikula feadha hizo teyeri CV yake ilikuwa imeandikwa bungeni ilikuwa siyo laisi kubadilisha pia kula hele za usajili wa Okwi na