zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Tukiuliza CV za Kina Sugu,Msigwa na MiniKabang WA Arusha tunatukanwa
Bado kupakatwa...
Tukiuliza CV za Kina Sugu,Msigwa na MiniKabang WA Arusha tunatukanwa
Hahahaha mkuu hii ilitumika kufanya kampeni au aliiuza??tena mipira 50 tu, kila mpira ulikuwa na thamani ya tsh 2500 tu ( buku mbili unusu ).
Lahaula !!! Kumbe ndio maana. Nipeni ile picha rage wakimpiga mwanachadema mawe
Hii hapa.
Mi nilijiuliza sana juu ya elimu yake pale aliposema kuwa ''Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma ilungua kwasababu ya shortage ya umeme alirudia sana na hata alipokosolewa na mbunge mwenzake akugundua tatizo la kusema shortage badala ya shoti ya umeme,nilishangaa zaidi pale mbunge nadhani ni profffesor yule alisema yeye alimfundisha yule mbunge aliyemkosoa rage na kuwa kusema kuwa SHORTAGE ya umeme ndiyo iliyounguza jengo ni sahii kabisa.Nimejiuliza mengi sana kuhusiana na umahiri wa Maprofesor wetu na uwezo wa wabunge wetu.Navyojua Shortage means defficiency of au lack of ,insufficiency etc from a free dictionary:a deficiency or lack in the amount needed, expected, or due; deficit.Ask yourself je shortage ya umeme inawezwa kusababisha jengo kuungua?Wewe na aliyeleta mada waongo wakubwa rage anaishi mtaa wa rufita, na nyumbani kwake zamani kulikua na Biashara ya hotel maarufu kwa jina la tanzania hotel, oposite na nyumba yake walikua wanapiga muzik tabora jazz!!! Pia ana elimu zaidi ya std VII, kumbuka kuwa aliwahi kuajiriwa CDA kwa nafasi ambayo hata ikitangazwa leo atatakiwa mtu mwenye Masters au zaidi.
Ikiwa una chuki zako weka wazi.....!!
Kumbuka nafasi ya katibu wa FAT na zote alizimudu, kifupi Mhe Rage ni msomi mzuri ktk fani ya uhasibu na course 14 mbalimbali za mipira,
Je unajua moja ya masharti ya vilabu ni kuwa na elimu si chini ya kidato cha nne?? ,
Acha ubaguzi nchi hii in wahindi, warabu, wasomali nk wote wa TZ acha dhambi hii!! itakula wewew na familia yako.
Hakuna anayefahamu mkuu .Hahahaha mkuu hii ilitumika kufanya kampeni au aliiuza??
Ni kweli mkuu watu wanapenda kujadili watu na kuwadharau kabla hata hujamjua. Mfano mzuri ni humu JF mtu anakurupuka anakuita kilaza hujasoma wakati hata hajui wewe ni nani, inatia hasira sana!
Kama mawazo yako mgando wakuiteje? Tena hata kilaza naona zuri. Mbulula kabisa