Kwa kawaida kuna mwaka mkubwa na mdogo,ikiwa mkubwa una siku 366 na mdogo una siku 365 na robo.Ikiwa mwaka mpya unaanza tar 1/1 kila mwaka saa 6:00 usiku na unaisha saa 5:59 usiku tar 31/12 kila mwaka.Utata upo hapa kwenye mwaka mdogo ambao una siku 365 na robo. Je,ni kwa nini kuna robo na wakati siku ina masaa 24 na nikipiga mahesabu kwa mimi sioni robo.Je hiyo robo imepatikana vipi jamani wasomi,naombeni majibu nisaidike jamani.