Si kweli mwanamme anasikia raha pale anapomwaga tu nakataa ndio maana wanaume wengi wanatafuta dawa ya kuchelewa kufika kileleni lengo ni kuinjoi zaidi na kuweza kumkuna mweza hadi kummaliza muwasho mpenzi wake! Huo upande wa pili siwezi jibu coz sijui.
mkuu upo sawa kabisa nakubariana nawewe ingekua mwanaume anasikia raha 2 wakati wakumwaga bas 2singekua sisi wanaume 2natafuta dawa yakuchelewa kumwaga
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanachelewa kufika kilele, kwa hiyo huwa wanapenda mwanaume anaye-last long kwenye mchezo. Hii ni sababu mojawapo inayowafanya wanaume kutafuta dawa ya kuchelewa. Hii ni kwa mujibu wa wanawake wenyewe. Na wengi wa wanawake hao wanasema ni moja ya sababu ya wao kwenda nje ya ndoa.
Hivi unapojikuna sikioni, nini kinapata raha? SIKIO au KIDOLE