Hallow wana JF,naomba kujuzwa kwa wale wenye uzoefu ktk uwanja huu wa mapenzi,wawe wadada au wakaka,eti ni kweli wanawake waenjoy zaidi wanapokuwa kwenye malavidavi kuliko wakaka?maana wapo wanaopiga kelele mwanzo mwisho ukiacha wale ambao wako kibiashara zaidi.Kwamba wao (wadada)wana aslimia 75% na wakaka 25%?naomba nielimishwe tafadhali.