only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Nimekuwa nikipata muda japo si mara zote kufatilia vipindi vya Bongo movie vya huyu mtangazaji machachari Joyce Kiria tangu akiwa Channel ten na sasa EATV,kwakeli namkubali for me she is presetable and nice woman.
Lakini inasemekana habari zake nje ya kazi ni mbovu sana.
Je, ameolewa, ana watoto wangapi na mume wake anaitwa nani?
Lakini inasemekana habari zake nje ya kazi ni mbovu sana.
Je, ameolewa, ana watoto wangapi na mume wake anaitwa nani?