Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Na alisema siku hakimu anampa talaka atafanya bonge la sherehe kama siku anaolewa, akisindikizwa na tarumbeta mpaka mahakamani. Sijuhi wametibuana nini na mumewe maana sijawahi ona toka nizaliwe mtu anashadadia talaka hivyo
nilisoma kwenye blog ya dina sjui vle..joyce aloikuwa anapondana na mmme wake dail
et sjui mwanaume gan anatoka na maji matakon..bra bra bra hamfikish...kdude kdgo..akidind...:rant::rant::rant:
na yeye nely pamoja na wapambe wake wanatoa madongo....basi raha tu
kikaz yes nampenda n anaongelea sana swaga za haki za wanawake...kikaz nampenda ayo matalaka yake hayanihusu lakin km vp asiyukane sana cz nw anajijenda fesh kikaz asiharibu kaz pcha yake...UTOTO WALIOKUWA WANAUFANYA NA NELLY WA KUUMBUANA HADHARAN WAACHE