Naomba kufahamishwa faida na hasara za kusoma diploma

lkn pia wewe una D 4 umeenda kusoma diploma, mwenzio less say ana B+ zote kwenye comb yake mkipeleka vyeti kwa ajili ya interview utakuwa shortlisted waache B+? tuache kudanganya! tukubali tu kuwa diploma ni option na ni altenative pale mtu anapokua ameteleza lkn siyo ya kulinganisha na advance.
Ww uko chuo bado ww! Ivi ni Mwajiri gani anaangalia Matokeo ya form four ndio ajiri? Mkimaliza huko mkakuta kazi ina taka experience fresher mnaanza kutoa povu, Nani ajiri graduate asiejua ABC amharibie kazi????
 
Mtu akipita form six na kufaulu wa diploma anakuwa cha mtoto kwa kipi?

Endelea kukariri kuwa watu wanalipwa kutokana na level ya elimu....technical issues watu wanalipwa kutokana na experience na kujua vtu sio kukariri kariri...
ndio mana mnaishia kuzunguka na bahasha mtaani

Nenda kaangalie DIT pale uone tofauti ya project zinazofanywa na Diploma na jinsi watu wanavyogombaniwa na makampuni...
Jamaa sijui Yupo course gani, Yani Ajui Technical issue ilivo kabisa wajili wenyewe wanawakubali mno Watu wa Diploma, coz mtu ameanza ufundi muda
 
Kuna Kampuni ya Kizungu kuna jamma angu alo Apply Kazi Ni kubwa tu Yani jamaa waliwambia watume CV tu bila matokeo ya aina yoyoye kuanzia ya Chuo mpaka sekondari wakisema mtumaji ila ahakikishe na tu ana diploma na O level , Zilipigwa mpaka interview bila muajiri kuwa na Matokeo ya hao anao wa interview walifanyiwa oral, Written na Practical kidogo ,Waliotoboa apo Waliitwa tu later kiverify certificates zao na wakaanza job ikiwemo uyo jamaa angu
 
Mm nashangaaga sanaa mtu anavyosema diploma wako vzr kuliko degree wakat mwl wa diploma ni degree holder wa hiyo fani

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Wewe unasema mwalimu....!! Sisi tunasema mwanafunzi

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu diploma za afya unapata mkopo????

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Upo lakin hautoki serikalini na haupo wazi kama unavofikiria.
Sema udhamin ndio upo sana mfano MKAPAFOUNDATION na taasisi za kidini yaan wanakulipia ada kwa kusudi uje fanya kazi ktk hospitali zao wanakulipa huku wakikukata chao kwa muda wa miaka miwil then unaweza enda unapotaka.
 
Upo lakin hautoki serikalini na haupo wazi kama unavofikiria.
Sema udhamin ndio upo sana mfano MKAPAFOUNDATION na taasisi za kidini yaan wanakulipia ada kwa kusudi uje fanya kazi ktk hospitali zao wanakulipa huku wakikukata chao kwa muda wa miaka miwil then unaweza enda unapotaka.
Na unaupataje huo udhamini kaka??

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom