Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Mara kadhaa nimesoma kuwa wakili walimuomba Jaji awasomee alichoandika. Hivi Mahakama haina stenographers ambao kazi yao ni kuweka kumbukumbu ya kinachoendelea?
Kama hiyo inashindikana, kwa nini wasirekodi kwa kutumia voice au video recorder? Mimi naona kumtegemea Jaji sio sahihi. Yeye achukuwe notes za kumsaidia lakini official kumbukumbu zichukuliww na mtu mwenye utaalam wa kufanya hivyo. Nadhani bungeni wapo.
Amandla...
Kama hiyo inashindikana, kwa nini wasirekodi kwa kutumia voice au video recorder? Mimi naona kumtegemea Jaji sio sahihi. Yeye achukuwe notes za kumsaidia lakini official kumbukumbu zichukuliww na mtu mwenye utaalam wa kufanya hivyo. Nadhani bungeni wapo.
Amandla...