Nani mwaminifu katika ndoa

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,462
745
Ni maajabu ila ni simulizi la ukweli kabisa,Dada mmoja kafunga ndoa mwezi mmoja haujaisha,Mumewe yupo mbali kikazi,Na kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na kibosile mmoja wa council.Sasa baada ya kutoka kufunga ndoa na honeymoon week hii kampigia simu hawara yake na kumwambia amerudi na kuapa kuwa wataendelea kula tunda hapo mwanamme kwa furaha kabisa akukubaliana kuwa ukiwa na hamu nishitue nikukamiishie raha hiyo;Mwana ndoa katoa sharti kuwa lazima iwe nje ya wilaya ndipo wata du!!!True story experience''''
 
Ni maajabu ila ni simulizi la ukweli kabisa,Dada mmoja kafunga ndoa mwezi mmoja haujaisha,Mumewe yupo mbali kikazi,Na kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na kibosile mmoja wa council.Sasa baada ya kutoka kufunga ndoa na honeymoon week hii kampigia simu hawara yake na kumwambia amerudi na kuapa kuwa wataendelea kula tunda hapo mwanamme kwa furaha kabisa akukubaliana kuwa ukiwa na hamu nishitue nikukamiishie raha hiyo;Mwana ndoa katoa sharti kuwa lazima iwe nje ya wilaya ndipo wata du!!!True story experience''''
True story yako haina kichwa wala miguu,atleast ungeandika huku umetulia ingeleta maana kidogo,otherwise watakuja kuchangia walioelewa!!
 
Ni maajabu ila ni simulizi la ukweli kabisa,Dada mmoja kafunga ndoa mwezi mmoja haujaisha,Mumewe yupo mbali kikazi,Na kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na kibosile mmoja wa council.Sasa baada ya kutoka kufunga ndoa na honeymoon week hii kampigia simu hawara yake na kumwambia amerudi na kuapa kuwa wataendelea kula tunda hapo mwanamme kwa furaha kabisa akukubaliana kuwa ukiwa na hamu nishitue nikukamiishie raha hiyo;Mwana ndoa katoa sharti kuwa lazima iwe nje ya wilaya ndipo wata du!!!True story experience''''

What next?
 
smtms najiuliza kwann watu wanaingia maisha ya ndoa ilhal bado wanahitaj kuwa free na kutoka na wapenzi wengine? Kwanin wasibac mabachelor wajinafac kwa uhuru? Why do people get married??
 
Kwa maelezo yako na kwa usemi wako mwenyewe kuwa hiyo ni "true story xperience" inaonekana wewe mwenyewe ndio huyo kibosile wa council
 
watu tatizo wabishi....kama ukitaka kuwa na ndoa imara hamna mambo ya kuishi miji tofauti. siku hizi kuna locationships tuu so ni partner wako akawa katika hiyo location uliyopo wewe.
dah ila mwana atakula bupa kwa raha zake na hamna bupa tamu kama ya mke wa mtu
 
Malindi si useme tu wewe ndiye kibosile wa council, details kama hizo umezijuaje.

Ushauri wangu, uache; Mke wa mtu ni dhambi!
 
Cha kuiba hakiishi hamu hata siku moja..ila sasa ukikamatwa ndo utajua maharage mboga au futari!??!
 
Kwa maelezo yako na kwa usemi wako mwenyewe kuwa hiyo ni "true story xperience" inaonekana wewe mwenyewe ndio huyo kibosile wa council[/QUOTE

Nashukuru kwa wote waliochangia Namuomba Mungu aniepushe kabisa nisije nikawa kama huyo bosi ambaye ni rafiki yangu wa karibu na wakati anaongea na simu na hicho kimwana nilikuwepo yeye mwenyewe kashangaa!!Kafunga ndoa juzi bado ananitafuta!!!!

Tumwombe Mungu autepushie pepo wa ngona kwani Dunia Inaangamia!!!
 
Back
Top Bottom