mwanaone
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 637
- 760
habari zako za kiitelijensia ni feki...JK kama anampenda sitta alikuwa wapi kumuacha akapigwa chini uspika...hivi nyie mnafikiria kweli au mnaandika andika tu
wewe subiri uone mambo yatakavyoenda.
vuta subra ndugu lengo la jk ni kuacha heshima kabla hajangatuka.