@ MTU MMOJA.., Huna lolote wewe....! utakua tu na hisa richmonduli au wazee wa jembe na nyundo..! unmfananisha 6 na matoto ya njiwa..! its like comparing a lion and a cat! huyo bibi akiwa spika ndo kabisaa ataliuwa bunge, litarudi enzi ya nchinga sound. sisiem katika hizo three names walizopropose hamna anaefaa kuwa spika katika bunge hili jipya la more speed and more stundards so the only choice ni MARANDO..