PINDA keshajichokea hawezi siasa za Bongo mzee wa watu, na hivi kamoyo kake kadogo si ndio atalia mpaka basi...
tulimsema kidogo tu kuhusu alivyosema wauaji wa albino nao wauawe akalia mpaka tukamuonea huruma , tukimpa urais tukimlazimisha awatoe mafisadi si ndio atalia mpaka azimie???:smile:
Intimacy zinaniambia 6 kuwa PM
sitoshangaa waziri mkuu akiwa edu
Usihofu kwa JF naamini kuna watu wako jikoni kabisa wataleta mambo.Yahe mie nasubiria hiyo waziri nkuu itajwe, nani mwenye nayo taarifa ati atugaie na sie, mbona mwatuweke matumbo juu juu kama mkungu wa ndizi yakhe? aah mie sipendi ati, kwani huyu blazamani atakani? mbona saa kumi unusu na azana kishapita kakaaa kimya tu!!! amtangaze basi kama aogopa gharama basi tumlete maalim seif awe waziri nkuu, si nchi moja? washangaani sasa, mie nipo hapa Nchambawima nasubiria
Hili nalo neno!JK, MP wote walinzi wa Ufisadi hawafai, hakuna mchezaji mzuri atachezea timu ya CCM, kawaulize vijana wapinga FISADI kina NAPE wako wapi, peleka uwe DC ukanyamaze huko.
JK,MP Ombaomba- hata neti wameomba kwa Bush, neti zenyewe ni 2.2 X 3 mimi nafugia vifaranga wasiliwe na kunguru maana havitoshi kwenye vitanda vyangu, CCM ovyooooooooo heshima yao ilishakwisha enzi za JK halisi ni Nyerere peke yake naweza mpigia kura akifufuka! toba!
JK, MP wote wanalalamika badala ya kutoa maamuzi, watoto wanalalamika na wazazi pia Ovyo zaidi
Kimsingi fikra na THINK TANK ya CCM ilishakuwa outdated, ni masikini tu wasiojua ndo hukipigia kura kwa kuogopa wengine wameambiwa wataleta vita!
MWISHO WA MAFISADI WATASHITAKIWA TU, KAMUULIZE TAREQ AZIZ WA IRAQ mwaka 1982 alipiga Wakurdi kwa sumu na kuuwa vijiji hakutegemea watatawala wengine, leo amehukumiwa kunyongwa!
CCM na Mafisadi MWISHO WAO NI MBAYA!!!!!!!!!