Nani anatoa vibali vya kupiga picha kwenye lecture

Status
Not open for further replies.
we raia me ckusomi kabisa,mara uko udom mara udsm?

Hayo ndo maisha ya kimjini-mjini.
Kwa hisani ya Riz1...
Why ile siku ulizingua mwana? Nilikuambia uje block G ukanichomesha mahindi!
 
Hayo ndo maisha ya kimjini-mjini.
Kwa hisani ya Riz1...
Why ile siku ulizingua mwana? Nilikuambia uje block G ukanichomesha mahindi!

co kujiachia kiivo kijana,unaweza ukawa ni usalama wa taifa thn ukanipga pingu bure...c unajua tena humu jf hakuna kuaminiana kivile mkuu?
 
co kujiachia kiivo kijana,unaweza ukawa ni usalama wa taifa thn ukanipga pingu bure...c unajua tena humu jf hakuna kuaminiana kivile mkuu?

sio kihivyo, it is safe than you could imagine. You can count on me...
 
State University ya Tanganyika i.e UDSM. Prof Kihore ni mwalimu wa Kiswahili hapa...
Huo utaratibu sidhani kama upo katika chuo hiki, ni mgeni kabisa. And much painful ni kuwa cameraman alikuwa mzungu...
Inasikitisha sana kama huyu ni mwanafunzi wa chuo kikuu tena wa mwaka wa pili, eheeh mungu ibariki Tanzania, hivi mtu kama huyu kweli tutamuhita msomi au muhitimu?
Sasa nimeshapata jibu ni kwa nini wazungu sasa hivi hawazingatii vyeti wakati wa kutoa ajila bali wanazingatia zaidi interview ya kuandika na kuongea.
 
Inasikitisha sana kama huyu ni mwanafunzi wa chuo kikuu tena wa mwaka wa pili, eheeh mungu ibariki Tanzania, hivi mtu kama huyu kweli tutamuhita msomi au muhitimu?
Sasa nimeshapata jibu ni kwa nini wazungu sasa hivi hawazingatii vyeti wakati wa kutoa ajila bali wanazingatia zaidi interview ya kuandika na kuongea.

ingekuwa vizuri ungesema ni wapi panakupa shaka, sio unajenga maneno ya hewani. Nasubiri hoja yako!
 
Naona huu utaratibu umekuwa sugu hapa State University, leo Prof. Kihore anafanya muhadhara hapa Yombo 5, amekuja na mzungu wake, anafanya video shooting. Napata mkanganyiko kidogo, Profesa hajaomba ridhaa yetu ili apige picha., na mchakato unaendelea pasi na wasi.
Naombeni mwongozo wenu wadau...

Prof amefunguka leo, wale ni watu wa Quality Assuarance Bureau... Walikuwa wanatazama mazingira ya usomaji. Wakafika hitimisho kuwa mazingira si mazuri. Mihadhara miwili zaidi imeongezwa ili kupunguza msongamano!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom