Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Ooooohh!!! Kumbe vijana wapaka Rangi wana kazi hivi!!!!!!
Ndo maana utawakuta hata hawatabasam wameangalia pembeni!!!
Ndo maana utawakuta hata hawatabasam wameangalia pembeni!!!
mwee!! mweee!! Tena kuna siku moja na mimi nilienda nikawa nimevaa kofuli mpya babuu lake, imeandikwa UTAJIJU enzi zile! jamaa anapaka rangi halafu anakula chabo, basi baada ya kumgundua nikamwachia mwaaaaa! Nikaona jamaaa kasimama kaelekea choooni! shenzi kabisaa najua alienda kutoa magundi yake kwa mkono! mi naja kupaka rangi we unanichungulia!!! basi UTAJIJU! kwani kazi yako kuchungulia?