Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

Maleven

JF-Expert Member
Sep 8, 2019
624
2,775
Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-

1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"

2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupika chakula soon. Inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.

Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.

3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.

4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake

5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui

6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"

7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.

Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili.

Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.

Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.

Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.

Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?

Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
 
Ondoka hapo katafute sehemu ulale, Jela ni mbaya, Jela ni mateso....

Unaweza usiwe na mpango wa kudhuru mtu, Ila unaweza kujikuta umemuamsha umuulize halafu akakujibu "ndo ushaona, amua sasa"

Wale wanaofanya matukio hawawi conscious muda huo.....katafute PA kulala Kwanza
 
Ondoka hapo katafute sehemu ulale, Jela ni mbaya, Jela ni mateso....

Unaweza usiwe na mpango wa kudhuru mtu, Ila unaweza kujikuta umemuamsha umuulize halafu akakujibu "ndo ushaona, amua sasa"

Wale wanaofanya matukio hawawi conscious muda huo.....katafute PA kulala Kwanza
Niko mkavu kabisa kama hakijatokea kitu, kama sio privacy ningetuma picha, amalala hana habari na mimi sina nia ovu kabisa, ngoja pakuche tuone
 
Niko mkavu kabisa kama hakijatokea kitu, kama sio privacy ningetuma picha, amalala hana habari na mimi sina nia ovu kabisa, ngoja pakuche tuone
Sawa, Ila jitahidi Kucontrol hasira, katika vitu wanawake hatuvijui ni kuomba msamaha tukikosea.....we are always perfect.
Unaweza kupewa jibu ukajikuta ushang'oa shingo toto la mtu.....dhibiti hasira, kuwa tayari kusikia chochote.....though kiusalama zaidi ungekaa nae mbali Kwa sasa.
 
Ni mkeo au ni mpenzi?

Komaa nae mkuu hadi siku mkipima vikatokea vimistari viwili atajiangusha chini na kujifanya kuzimia kisha akizinduka atalia wee na kukung'ang'ania akikuomba msamaha au iwe kinyume chake akutuhumu wewe ndio umemletea maradhi.

Huyo ni wale walokububu ambao huwa tunachapa na kinga kisha unamuacha akapambane na wanaojifanya kumganda na kumuona mke bora, kama wewe unavyomuona hapo.
 
Naweza sema ni mke, tumeishi wote kabla ya mambo ya masomo, ngazi za chini mimi ndo nimemsomesha, wazazi wananijua. Kifupi nilishakabidhiwa na wazazi wake muda mrefu.
Sasa umekuwa balozi mzuri wa wale wanaosema mchumba hasomeshwii.

Unachukua mwanamke, unaweka hela zako juu yake, unamleta chuo ili wahuni wafwaidi.

Wahenga walisema: Mchumba hasomeshwi.
 
Niko mkavu kabisa kama hakijatokea kitu, kama sio privacy ningetuma picha, amalala hana habari na mimi sina nia ovu kabisa, ngoja pakuche tuone
Screen shot hizo msg jitumie kwako kisha futa sent item kwenye simu yake, niamin mimi anaweza kuja kukuruka hadi ukashangaa, atazifuta shwaaa na kusema unatunga maneno ya uongo ili muachane uende kwa mademu zako.
 
Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-

1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"

2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupikachakula soon. inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.


3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.

4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake

5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui

6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"

7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.

Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili,

Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.

Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.

Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.

Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?

Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Pole mkuu.

Mambo hayo ya mapenzi ukishafuma ushahidi kama huo, inatakiwa maamuzi yake uyachukue ukiwa na utulivu wa akili na siyo hasira inayosongeshwa na wivu, ni lazima utakosea.

Umalaya wa huyo mama kwa jinsi ulivyoeleza, unaharibu kabisa mustakabali wa mahusiano yenu ya kimapenzi.

Ni wewe utayeamua kusuka ama kunyoa, maana kwenye mahusiano watu tumegawanyika katika maamuzi ya kuweza kusonga na mtu aliyekukwaza hasa kwa mambo mazito kama hayo.

Maana wapo wengine hupenda rafu za namna hiyo, ndiyo maana tunakwepa ili uamuzi uuchukue mwenyewe kiroho safi bila ya shinikizo la mtu ukiwa imetulia.

Mtu kugundua unachapiwa na kijiji na bado ukabaki na msimamo wa utulivu, wewe ni mwanaume uliyekomaa akili, ninakupongeza sana tu.
 
Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-

1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"

2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupikachakula soon. inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.


3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.

4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake

5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui

6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"

7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.

Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili,

Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.

Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.

Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.

Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Na wewe mgeuze mcheps wako tu wala asijue. Tafuta demu mwingine unakuwa nae serious huyu unamuweka pending unajilia ukiwa na hamu na hakikisha unamfokoa hata kule kwingine akishaona haumshobokei kama zamani akileta mboyoyo mchane live kwamba una demu wako unayemheshimu na akae mbali nawe akitaka awe mcheps. Haikika itakuwa funzo kwake na roho pamoja na nafsi yako itapona na utasaidia wanaume wengine wanaodanganywa na hizi paka shume.
 
Back
Top Bottom