Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

Ule mswada wa kununua mali chakavu umeanza kutekelezwa.

Huyu Palamagamba ni mwanasheria mwenye mawazo chakavu yanayofaa kutumiwa sasa na serikari kwa kufanya mambo ya dharura kama kufunika haki ya watanzania kujadili katiba na kuamua yale wanayodhani yanachangia kuleta hali mbaya ya nchi.

Usomi wa majina ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa elimu. Huyu Palamagamba na Benson wanafaa kwa kughani mashairi tu.

Kuna jamaa yangu mmoja anasema yeye hamuogopi Profesa wala Dr na ana degree moja..ukimuuliza kwanini anasema elimu sio title bali kusaidia kuleta positive change...haya ya akina Pala-MAGAMBA na akina BANA ni dalili tosha kuonyesha elimu sio title.........ni bora wamachinga waliopambana na polisi last week kuliko huyu Kabudi anayezuia mabadiliko kwa kuwanywesha watanzania sumu mbaya ya kukubaliana na CCM aka Pala-MAGAMBA.............
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Palamagamba alikuwa ananyesha? Hahahahaha! BAHASHA YA KAKI SI MCHEZO!
 
Huyu Profesa kanisaidia sana Jana, sababu sasa ninaanza kumsikiliza kila professional kwa macho mawili.
1. Professional eye
2. Personal Interest eye.

Huyu Professa, ameweka pembeni kabisa usomi wake na kuangalia maslahi binafsi, ndio maana
sikumsikia akitoa any technical advice zaidi ya siasa mwanzo mwisho.

Kanunuliwa huyu
Taabu ya vijana wengi ni kutaka kila mtu kuwa na mtazamo na msimamo unaolandana na matakwa yao jambo ambalo halileti siha njema katika jamii inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na kidemokrasia. Na ndio maana sikuona ajabu kuona wakati wa mjadala wa jukwaa la katiba mtu yeyote aliyekuwa anatoa mawazo kinzani na mtazamo wa kundi hilo alizomewa na kukatizwa asiendelee kutoa maoni yake...rejea Mzee Lifa Chipaka alivyonyimwa uhuru wa kutoa maoni. Wasichokifahamu vijana hao wenye hulka ni kuwa uhuru wao unaoishia ndipo unapoanza uhuru wa mtu mwingine. Talk, Talk and talk but also listen and respect other peoples opinions even if they might be contrally to your personal belief.
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Kabudi hajarogwa,bali anaumwa ugonjwa tu wakawaida ujulikanao kama 'KUJIPENDEKEZA KWA WAKUBWA'
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Umesema mwenyewe wewe ni kijana wa kichaga.sasa ulitegemea kijana wa kichaga(Kyadema) angefurahima ya maneno yenye hekima
 
Anatafuta fadhila ili ateuliwe kuwa mjumbe wa kamati ya kuchukua maoni ya kutunga katiba mpya. Mkae mkijua hana jipya huyujamaa, hovyo kweli
 
Taabu ya vijana wengi ni kutaka kila mtu kuwa na mtazamo na msimamo unaolandana na matakwa yao jambo ambalo halileti siha njema katika jamii inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na kidemokrasia. Na ndio maana sikuona ajabu kuona wakati wa mjadala wa jukwaa la katiba mtu yeyote aliyekuwa anatoa mawazo kinzani na mtazamo wa kundi hilo alizomewa na kukatizwa asiendelee kutoa maoni yake...rejea Mzee Lifa Chipaka alivyonyimwa uhuru wa kutoa maoni. Wasichokifahamu vijana hao wenye hulka ni kuwa uhuru wao unaoishia ndipo unapoanza uhuru wa mtu mwingine. Talk, Talk and talk but also listen and respect other peoples opinions even if they might be contrally to your personal belief.

Na wengi wao wala hakuna wanachojua zaidi ya kufuata upepo!
 
Na wengi wao wala hakuna wanachojua zaidi ya kufuata upepo!

Bora niwe mfuata upepo kuliko kuwa na msimamo wa mshumaa ama sabuni? Kwanza nitachana vyeti vyangu vyote nilivyosomea hapo Tanzania nianze upya kusoma hizo ngazi za chini ili nisiwe hata na historia yakufundishwa na wenye mawazo mafupi kama huyo anayejiita prof ambaye hata mdomo wangu unapata kigugumizi kumwita hilo jina...
 
Mkuu, ni njaa ya kupata fadhila za wakuu ili naye apate kutoka. Ndivyo wa-Tz wasomi wengi walivyo.
 
Huyu Profesa kanisaidia sana Jana, sababu sasa ninaanza kumsikiliza kila professional kwa macho mawili.
1. Professional eye
2. Personal Interest eye.

Huyu Professa, ameweka pembeni kabisa usomi wake na kuangalia maslahi binafsi, ndio maana
sikumsikia akitoa any technical advice zaidi ya siasa mwanzo mwisho.
Msomi kipofu anayeita nyeusi nyeupe,
Msomi aliye lishwa unga wa ndere
Aina ya wasomi wasaliti,wanaotia kinyaa waoga hata kwa nafsi zao.
Aina ya wasomi ambao uzao wao unapita na kutoweka kwa kasi mithili ya jua wakati wa machweo
,Aina ya wasomi waliobaki kuganga njaa wakitoa ushauri wa kinafiki ccm
huku mioyo yao ikiwa mbali na ushauri huo.
Aina ya wasomi wanaosababisha wasomi wadharaulike.
Atahukumiwa na kila mwenye uhai kwa usaliti wake.
 
Umesema mwenyewe wewe ni kijana wa kichaga.sasa ulitegemea kijana wa kichaga(Kyadema) angefurahima ya maneno yenye hekima
Uginingi mwingine,kwani CHADEMA hawapendi maneno ya hekima?na CHADEMA ni ya wchaga pekee?FIKIRA ZA MAGAMBA BWANA!
 
Jk kamwahidi ujumbe kwenye tume ya Jk ya kujiandikia katiba aitakayo jk mwenyewe/..................kwa hiyo anasubiri kukusanya maposho kibao............
 
Mwanzo nilikua namkubali sana Prof Kabudi lakini tangu kwenye suala la mgombea binafsi sina hamu hata ya kumsikiliza tena huyu Prof !
 
Pala (magamba)+ccm-magamba=nadhan kuna uhusiano
...........toka alipoungana na serikali kupoka haki ya uraia wa mtanzania (ugombea binafsi) na kwenda kinyume na mawazo ya baba wa taifa kuhusu haki ya uraia ambayo ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa, nilijua kuna kitu kimemtokea prof. Lakini sijui ni kitu gani, ni suala la wakati tu.
 
Taabu ya vijana wengi ni kutaka kila mtu kuwa na mtazamo na msimamo unaolandana na matakwa yao jambo ambalo halileti siha njema katika jamii inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na kidemokrasia. Na ndio maana sikuona ajabu kuona wakati wa mjadala wa jukwaa la katiba mtu yeyote aliyekuwa anatoa mawazo kinzani na mtazamo wa kundi hilo alizomewa na kukatizwa asiendelee kutoa maoni yake...rejea Mzee Lifa Chipaka alivyonyimwa uhuru wa kutoa maoni. Wasichokifahamu vijana hao wenye hulka ni kuwa uhuru wao unaoishia ndipo unapoanza uhuru wa mtu mwingine. Talk, Talk and talk but also listen and respect other peoples opinions even if they might be contrally to your personal belief.

how could you respect opinions ambazo zinainfluence decision za kitaifa????? rejea issue ya kutotolewa kwa mikopo katika Law Skul of Tanzania........anayeivalia njuga ni nani mpka leo kama siyo Kabudi!!!!! how could we respect such kind of opinion.........he has authority as a faculty dean of UDSM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom