Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,008
- 2,384
Assalamu Alaykum.
Kheri ya EID EL FITR wana jf wote leo itachezwa mechi kali kati ya NAMUNGO FC watakaoikaribisha SIMBA SC katika uwanja wa ILULU mkoani LINDI majira ya 10:00 jioni.
Kwa masimulizi mubashara ya mtanange huu wa kukata na shoka baki katika uzi huu.
EID MUBARAK.
KIKOSI CHA SIMBA.
1.MANULA
2.KAPOMBE
3. HUSSEIN
4. ONYANGO
5.INONGA
6.MKUDE
7.KIBU
8.MZAMIRU
9.BWALYA
10.BANDA
11.KAGERE
WACHEZAJI WA AKIBA.
BENO ISRAEL GADIEL WAWA NYONI SAKHO MUHILU BOCCO MORISSON.
Kheri ya EID EL FITR wana jf wote leo itachezwa mechi kali kati ya NAMUNGO FC watakaoikaribisha SIMBA SC katika uwanja wa ILULU mkoani LINDI majira ya 10:00 jioni.
Kwa masimulizi mubashara ya mtanange huu wa kukata na shoka baki katika uzi huu.
EID MUBARAK.
KIKOSI CHA SIMBA.
1.MANULA
2.KAPOMBE
3. HUSSEIN
4. ONYANGO
5.INONGA
6.MKUDE
7.KIBU
8.MZAMIRU
9.BWALYA
10.BANDA
11.KAGERE
WACHEZAJI WA AKIBA.
BENO ISRAEL GADIEL WAWA NYONI SAKHO MUHILU BOCCO MORISSON.