Ndugu mama ni binadamu kama binadamu wengine na anastahili kurekebishika.kuna msemo kwamba kids are the best judges to parents sababu pendo kwa mzazi lipogo siku zote so u can fairly judge a parent.Heshima yake kama mzazi mpe na kamwe usimdharau ila kosa ni kujikalia kimya.
Siku mfungie safari mpelekee zawadi kama kawaida ila this time iwe safari yenye lengo la kumwambia ukweli.mwambie how much u love her and how u feel anakubagua.kuwa nae open na kama una uchungu lia kabisa ajue upo serious na imekuuma.ikiwezekana mkumbushe imcidences kwa kumpa mifano hai ya matukio akiyokubagua.
Afu hela mbaya, hawa ndugu wenye hela tatizo likitokea wanajua kutoa noti zao tu wakidhani wanafanya makubwa sana ila kiukweli si ajabu na wewe wa hali ya chini una mchango mkubwa. Mi ishawahi kutokea ikabidi niuguze ndugu wa saratani ila mtoa hela alikuwa mwingine..matunda, dawa na kila kitu kinanunuliwa ila kumuogesha mgonjwa sasa. Kufamka asubuhi mgonjwa ale na some days kulala nae usiku.mi nalala chini yeye kitandani akianza tu kulia maumivu na mi nimeamka kukaa nae mara tusali.wenye hela wamezitoa ndio ila kazi kama zile hakuna aliyefanya ila mimi nsie na kitu.na kweli yule mgonjwa kabla hajafariki alilia sana kunishukuru nilivokuwa nae kwa karibu kuliko hata hao watoto wake wenye pesa. Money is everything but not always..
Hivyo mamako asisahau kuna kuugua na si ajabu wewe ndo ukawa wa kumuogesha. Hata kama watoto wake wengine anaowahusudu wamemwaga pesa.kuna kitu kinaitwa touch..humpi mtu hata senti tano ila unamgusa kitofauti kabisa.
Siku mfungie safari mpelekee zawadi kama kawaida ila this time iwe safari yenye lengo la kumwambia ukweli.mwambie how much u love her and how u feel anakubagua.kuwa nae open na kama una uchungu lia kabisa ajue upo serious na imekuuma.ikiwezekana mkumbushe imcidences kwa kumpa mifano hai ya matukio akiyokubagua.
Afu hela mbaya, hawa ndugu wenye hela tatizo likitokea wanajua kutoa noti zao tu wakidhani wanafanya makubwa sana ila kiukweli si ajabu na wewe wa hali ya chini una mchango mkubwa. Mi ishawahi kutokea ikabidi niuguze ndugu wa saratani ila mtoa hela alikuwa mwingine..matunda, dawa na kila kitu kinanunuliwa ila kumuogesha mgonjwa sasa. Kufamka asubuhi mgonjwa ale na some days kulala nae usiku.mi nalala chini yeye kitandani akianza tu kulia maumivu na mi nimeamka kukaa nae mara tusali.wenye hela wamezitoa ndio ila kazi kama zile hakuna aliyefanya ila mimi nsie na kitu.na kweli yule mgonjwa kabla hajafariki alilia sana kunishukuru nilivokuwa nae kwa karibu kuliko hata hao watoto wake wenye pesa. Money is everything but not always..
Hivyo mamako asisahau kuna kuugua na si ajabu wewe ndo ukawa wa kumuogesha. Hata kama watoto wake wengine anaowahusudu wamemwaga pesa.kuna kitu kinaitwa touch..humpi mtu hata senti tano ila unamgusa kitofauti kabisa.