Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
vip ulishampata? nikupe mbinu
ahahahaaaa yani sijui nilivyoamkaNaona leo umeanua kufukunyua makabrasha
sasa wewe mwehu.nasemahivi kaka aako namjua nawewe ucena akili nishakujua.Nahuyo mwanamke mwenyewazimu pianamjua nauwasha moto namwambia kakayako mbona namjua.