halafu nahisi kama kidogo changu hiki!!!!!!!!!!
kama kweli utakuwa ndiye wewe jaribu kulala na mke wangu kama ndo shukrani ya wema niliokutendea na ninaozidi kukutendea utajua kwa nini nina pumbu moja!
funza zimekuisha miguuni sasa unatamani kurudi kijiji.
Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
nyie wote mlio mshauri sikubaliani hata kidogo.......................
huyu kaka ndo mgomvi yy kamtamani shemeji yake hadi shemeji kamstukia, sasa eti anataka aashtaki kwa kaka ashtaki nini?
Soma vizuri hiyo mada kabla ya kucomment,maana naona kwenye comment ni kama umetunga mada mpya
Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
Mtenda akitendwa!