Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
YAH nilitaka tu kufahamu habari zake maana ni muda mrefu hatujawasiliana wala kuonana. It is about 10 yrs. What I mostly remember is that I tried to seduce her bythattime BUT she was too mgumu with msimamo that she dont and cant till married.
kama lengo lako ndio ilo kuwa ulimtokea akakukataa na sasa unamtaka tena, labda nikupe tu ukweli kuwa huyu dada mimi binafsi nimefanya naye kazi kwenye halmashauri ya wilaya kwenye moja ya mikoa yetu hapa Tanzania yeye akiwa kama DISTRICT HUMAN RESOURCE OFFICER (DHRO). Kimsingi ameshaolewa na mpaka nahama kwenye wilaya hiyo mwaka 2007alikuwa na watoto wawili wa kiume. Wanapendana sana na mumewe. Na wewe ndio umetaja jina lake halisi live. Ndoa za watu jamani