Cenilah laprincesser
Member
- Jan 25, 2021
- 56
- 47
Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie
Natamani nkuombe uniscanieMimi nilikitafuta nikakipata hardcopy nipo moshi ninacho hadi sasa
Kizur sana yaanKiatabu kitamu sana
Umeshakipata?Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie View attachment 2937561
Chukua chuma hicho!Kizur sana yaan
Asante sanaChukua chuma hicho!
BadoUmeshakipata?
Izii nmeshasoma mwendelezo wa apaAsante sana
Izii nmesoma tyrChukua chuma hicho!
We ulitaka ipi bossIzii nmesoma tyr
Aiseh nlijua baada ya mdada kumpata the bastard Kuna mwendelezoWe ulitaka ipi boss
Mwandishi aliamua kuishia hapo.Aiseh nlijua baada ya mdada kumpata the bastard Kuna mwendelezo
Alikuwa ni muandishi mzuri Sana!!Mwandishi aliamua kuishia hapo.
Binafsi hussen Tuwa hafanyi kazi tena ya uandishi.
Bila shaka walishampa mwongozo