Ahhhh sina hata moja hapo so siqualify
maana sura kama nimelipukiwa na baruti za beghazi, sina mvuto, sijiamini, navuta sigara pakti nane kwa siku, nakunywa crate tatu za bia tena the kick, sijabatizwa wala sijui kanisa lina sura gani, sijui nilizaliwa lini maana ahhh huko nilikozaliwa nakujua mwenyewe, mbumbumbu wa haja maana hata tv wala redio huwa sisikilizi so ni out dated ahhhh najiondoa hapo
mmmmmmmmmh kazi hapo?Ahhhh sina hata moja hapo so siqualify
maana sura kama nimelipukiwa na baruti za beghazi, sina mvuto, sijiamini, navuta sigara pakti nane kwa siku, nakunywa crate tatu za bia tena the kick, sijabatizwa wala sijui kanisa lina sura gani, sijui nilizaliwa lini maana ahhh huko nilikozaliwa nakujua mwenyewe, mbumbumbu wa haja maana hata tv wala redio huwa sisikilizi so ni out dated ahhhh najiondoa hapo
hahahahahahaha mkuu umenikwatua mbavu zangu,ila ungemalizia tu kuwa wewe ni bingwa wa kulilia mapenzi.
mmmmmmmmmh kazi hapo?
Love connect.....peleka kule.
daaah hata uraia wako huujui mkuu nikusaidieje sasa?
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza
(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara
2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate
3mtanzania- weka passport
4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena
5 awe na maisha yanayoeleweka loh
6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe
7 awe anajiamini
8awe mpenzi wa simba na arsenal
9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika
10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo
11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh
12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe
13 nitaendelea kesho
(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa