jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Yaani mkuu unaongezea kabisa sijui perfume wala ndugu zake na perfume
harufu kama ya beberu
na kuoga mpaka kuwe na sikukuuu
nazielewa chobingo zako pale stand, tena mida hii wala shati ujavaa jasho linakutiririka na jua hli, upo mbio na mkokoteni. Sasa utawezea wapi mambo ya mahug n' kisses, hebu tuachie vijana wabichi sie hahahahaha