Yaani umepata Div One form 6, eti saa hizi uwe mpiga debe???? Napata kazi kuamini hii??
Tena kwa kombination ya PCB ambayo ina watu wachache balaa wanaoenda mchepuo huo??
Yaani kapata
Eti leo miga debe????
- Physics - A
- Chemistry - A
- Biology - B
Hivi unajua kwa cheti cha Six cha kutisha namna hiyo unapata kazi ya maana kabisa ya kulipwa hela nzuri kabisaa, na tena ukiwa mjanja zaidi unapewa hadi scholarship kiulaini ya kwenda kusoma n'gambo kiurainiiiiii???
Kudadadadadadadadadadeki . . . . . .
Kwani Uteja ni hautibiki . . .
Kama kweli unayosema hayo we Nazjaz, nipe Jina lake kamili, picha yake ilete hapa then mi nitafanya mpango wa kumuendeleza.
Am serious, weka hizo identity zake hapa au ni PM.
halafu watu wote anakutana nao posta kama umenote!! ila huwezi jua nahisi hii ya ukwelimlikuwa na ndoa? Shule gani hiyo inaruhusu mahusiano ya kimapenzi hadharani hivyo mpka mtangaziane kuachana?... Mi napata shida kuamini hii story ya Nazjaz!..
Leo nimemkuta Posta Mpya, ni mchafu anadandia mabasi. Anawahi siti kupitia madirishani ili wenye kuhitaji siti wampatie ujira wa sh. 500.
Tulikutana naye mwaka 2004 tukiwa form 5.
Tulipendana naye napenzi ya dhati, kama gari na matairi ndivyo tulivyokuwa.
Form six tulipo ingia, kuna dada mrembo sana, kwa kuwa boyfriend wangu huyu alikuwa na uwezo sana darasani wasichana wengi wakawa wakimfuata ili awafundishe huku moyoni wakiwa na yao.
Miongoni mwa waliokuwa wakimfuata boyfrend wangu ni pamoja na mgeni huyu aliyehamia.
Sijui alitumia mbinu gani, akamnyakuwa wangu wa moyo. Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akaungazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha. Niliumia sana, nikamwachia Mungu.
Tukiwa kwenye likizo ya kusubiri majibu, nikasikia eti my ex boyfriend kapelekwa jela kwa wizi. Sista duu alikuwa anahitaji mambo makubwa, ambayo ili my ex ayamudu ilimbidi aibe na kukwapua.
Bahati mbaya za mwizi arobaini, akakamatwa na kufungwa kifungo cha miaka mitatu. Majibu yakatoka, alikuwa amefaulu vizuri sana, one ya point nne PCB.
Sikuwahi kumuona tena ndio namuona leo akiwa ni teja, hana mbele wala nyuma.
Napita tu, maana Nazjaz thread zake zimejaa utata mtupu
na mimi nlikuwa kiranja mkuu kuanzia primary na sekondary school, mengi tumeyaona kulingana na shule tulizosoma. Nikiwa kiranja nimesha wahi kukabidhiwa cheo cha mwalimu msaidizi wa nidhamu.Hivi Nazjaz haya ni ya ukweli au ume-create story hapa? Mwanafunzi hata akiwa head prefect, hana mamlaka ya hivyo aise, inamaana shule nzima hata waalim walikuwa wamehalalisha uhusianao wenu? hiyo ilikuwa ndoa shuleni au? Na ninavyofahamu mimi, ukiwa head prefect ( mimi nilikuwa head prefect pia naelewa) unapotoa matangazo mstarini mwalim wa zamu anakuwepo mstarini. Na siku zote kiongozi unatakiwa kuwa mfano, na hakuna shule inayoruhusu mapenzi shuleni, hiyo ya kwenu itakuwa ya kwanza kwa tz hii!!!!!!! Hata kama mwalim wa zamu hayupo huwezi in anyhow kutangaza upuuzi huo mstarini. ndo najiuliza hii story ni ya kupika au? Any way pokea ushauri kisha tuletee matokeo ikiwezekana mtaje jina huyo kaka na picha yake iewe jamvini ili waungwana wamsaide.
Kumsadia ugonjwa wake nimemweka kwenye Ignore List!¬
Leo nimemkuta Posta Mpya, ni mchafu anadandia mabasi. Anawahi siti kupitia madirishani ili wenye kuhitaji siti wampatie ujira wa sh. 500.
Tulikutana naye mwaka 2004 tukiwa form 5.
Tulipendana naye napenzi ya dhati, kama gari na matairi ndivyo tulivyokuwa.
Form six tulipoingia, kuna dada mrembo sana, kwa kuwa boyfriend wangu huyu alikuwa na uwezo sana darasani wasichana wengi wakawa wakimfuata ili awafundishe huku moyoni wakiwa na yao. Miongoni mwa waliokuwa wakimfuata boyfrend wangu ni pamoja na mgeni huyu aliyehamia. Sijui alitumia mbinu gani, akamnyakuwa wangu wa moyo. Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha. Niliumia sana, nikamwachia Mungu.
Tukiwa kwenye likizo ya kusubiri majibu, nikasikia eti my ex boyfriend kapelekwa jela kwa wizi. Sista duu alikuwa anahitaji mambo makubwa, ambayo ili my ex ayamudu ilimbidi aibe na kukwapua. Bahati mbaya za mwizi arobaini, akakamatwa na kufungwa kifungo cha miaka mitatu. Majibu yakatoka, alikuwa amefaulu vizuri sana, one ya point nne PCB.
Sikuwahi kumuona tena ndio namuona leo akiwa ni teja, hana mbele wala nyuma.
Haya tena makubwa..............mimi nilikuwa head prefect primary school-1995,head prefect o-level 1999,head prefect A-level,2002 na rais wa chuo kikuu...................................kwa tabia za ma hp?? hii story ina utata...........................labda shule yao ilikuwa kinyume na majina ya watakatifu..............
Duh kwa kweli pole sana
Ila kuna kitu kimeniingia juu ya hii story........... hivi wattoto wetu wanapokuwa shule wanaelewa wako pale kwa sababu gani? Najaribu kuwaza mtu aliyekuwa na akili kiasi cha kupata Div 1.4 form six anashindwaje kutambua kuwa kuiba kunawezamharibia future yake (kama alikuwa anaitambua??)
Pole sana........kama bado una mapenzi ya kweli juu yake angalia namna ya kumsaidia......atakuwa amejifunza !
Muongo huyu
Leo nimemkuta Posta Mpya, ni mchafu anadandia mabasi. Anawahi siti kupitia madirishani ili wenye kuhitaji siti wampatie ujira wa sh. 500.
Tulikutana naye mwaka 2004 tukiwa form 5.
Tulipendana naye napenzi ya dhati, kama gari na matairi ndivyo tulivyokuwa.
Form six tulipoingia, kuna dada mrembo sana, kwa kuwa boyfriend wangu huyu alikuwa na uwezo sana darasani wasichana wengi wakawa wakimfuata ili awafundishe huku moyoni wakiwa na yao. Miongoni mwa waliokuwa wakimfuata boyfrend wangu ni pamoja na mgeni huyu aliyehamia. Sijui alitumia mbinu gani, akamnyakuwa wangu wa moyo. Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha. Niliumia sana, nikamwachia Mungu.
Tukiwa kwenye likizo ya kusubiri majibu, nikasikia eti my ex boyfriend kapelekwa jela kwa wizi. Sista duu alikuwa anahitaji mambo makubwa, ambayo ili my ex ayamudu ilimbidi aibe na kukwapua. Bahati mbaya za mwizi arobaini, akakamatwa na kufungwa kifungo cha miaka mitatu. Majibu yakatoka, alikuwa amefaulu vizuri sana, one ya point nne PCB.
Sikuwahi kumuona tena ndio namuona leo akiwa ni teja, hana mbele wala nyuma.
Leo nimemkuta Posta Mpya, ni mchafu anadandia mabasi. Anawahi siti kupitia madirishani ili wenye kuhitaji siti wampatie ujira wa sh. 500.
Tulikutana naye mwaka 2004 tukiwa form 5.
Tulipendana naye napenzi ya dhati, kama gari na matairi ndivyo tulivyokuwa.
Form six tulipoingia, kuna dada mrembo sana, kwa kuwa boyfriend wangu huyu alikuwa na uwezo sana darasani wasichana wengi wakawa wakimfuata ili awafundishe huku moyoni wakiwa na yao. Miongoni mwa waliokuwa wakimfuata boyfrend wangu ni pamoja na mgeni huyu aliyehamia. Sijui alitumia mbinu gani, akamnyakuwa wangu wa moyo. Nilipigwa kibuti assemble, my boyfriend was head prefect. Akautangazia umma wa wanafunzi kuwa ameniacha. Niliumia sana, nikamwachia Mungu.
Tukiwa kwenye likizo ya kusubiri majibu, nikasikia eti my ex boyfriend kapelekwa jela kwa wizi. Sista duu alikuwa anahitaji mambo makubwa, ambayo ili my ex ayamudu ilimbidi aibe na kukwapua. Bahati mbaya za mwizi arobaini, akakamatwa na kufungwa kifungo cha miaka mitatu. Majibu yakatoka, alikuwa amefaulu vizuri sana, one ya point nne PCB.
Sikuwahi kumuona tena ndio namuona leo akiwa ni teja, hana mbele wala nyuma.
kaka nimekukubali....straight truth!attention seeking disorder (ASD) there is no treatment for such diseases at the moment, researches suggest that frequent sex may be useful, alcohol exacerbate the problem especially when the subject is horny and didnt get boned!!
i dont know why, ila wewe huaminiki na mimi sikuamini..... utunzi mwema
na mimi nlikuwa kiranja mkuu kuanzia primary na sekondary school, mengi tumeyaona kulingana na shule tulizosoma. Nikiwa kiranja nimesha wahi kukabidhiwa cheo cha mwalimu msaidizi wa nidhamu.