Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Mkuu Pole sana!
SMU aliyekuwa amevaa kaptura ya jani la mgomba na shati la mistari la mikono mirefuu ni mimi; Nilikuwa na ndugu zangu walionisaidia na kusimamia zoezi zima! kwa aliyeuliza kama hizi picha ni za kweli basi akatazame makaburi ili ajihakikishie kweli watu hufa!
Wadau nawashukuru sana, ni kweli Mungu kanipa upendeleo wa pekee!
Mubarikiwe