Namsaka mke wangu,

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,819
11,001
namsaka mke wangu,yupo kwe hisia zangu.napata picha tu,kua ni mwepe,mrefu,na ana miaka 23 na hunijia kipicha ila sipati picha eeee,jamani popote alipo anipigie na hii mana mwaka mpya ndo huu sijapata picha.unayesoma kama huna picha usilazimishe picha mana hutapata picha.mke wangu nitafute naomba usikae kimya ma hutapata picha 0712336687
 
namsaka mke wangu,yupo kwe hisia zangu.napata picha tu,kua ni mwepe,mrefu,na ana miaka 23 na hunijia kipicha ila sipati picha eeee,jamani popote alipo anipigie na hii mana mwaka mpya ndo huu sijapata picha.unayesoma kama huna picha usilazimishe picha mana hutapata picha.mke wangu nitafute naomba usikae kimya ma hutapata picha 0712336687

nadhani inabidi umwagiwe maji baridi uamke,ndoto ukuishe na huyo jini mahaba akutoke! Lol!
 
:A S 465:

  • A%20S%20465.gif
    picha inakuja namna kama hii


  • A%20S%20465.gif
    • A%20S%20465.gif



 
kama huna picha we picha yako hiii:hatari:
 
....sikuelewi, ngoja niwasikie waliokuelewa huenda nikaelewa na nikawa na jambo la kuongea.
 
Kaka pole kama yupo na bado anakupenda atakupigia. Lakini mesage yako sijaielewa vizuri kwani ulishawahi kuonananae? na mliachana katika mazingira gani mpaka usijue aliko.
 
...saka mke wangu saka mke wangu....hapa hayupo hapa hayupo....kenda wapi kenda wapi....kenda kusuka kenda kusuka
 
...saka mke wangu saka mke wangu....hapa hayupo hapa hayupo....kenda wapi kenda wapi....kenda kusuka kenda kusuka

huu mti gani?.. Wa mchongoma, nikiukata.?...haukatiki, hata kwa shoka?.....haukatiki, hata kwa panga?....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huu mti gani?.. Wa mchongoma, nikiukata.?...haukatiki, hata kwa shoka?.....haukatiki, hata kwa panga?....

tulinge bayoyo tulinge bayoyo nakuomba dada lizzy ukae chini tuyaone malingo yako..bingilibingili mpaka chini. Mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom