Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,883
- 2,374
Uwanja wa kuombeana kazi huu, tofauti ya kimemo na hii ni nini
Huyu Bwana ni mchapakazi mzuri sana.
Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.
Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.
Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheo
Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
huyu jamaa namfaham ni bora hata mwana...jakaya kikwete aliyeiaibisha feza girls.mweupeee
naunga mkono hoja huyu aliwahi kuwa mkurugenzi wilaya ya mbinga,alifanikiwa kununua magari mengi ,alitengeneza barabara zote za wilaya,upande wa elimu wilaya ilikuwa nafasi ya nne kwa kipindi kirefu,baadaye aliteuliwa kuwa mfanyakazi bora sikumbuki mwaka,pia baada ya kazi nzuri alihamishiwa ILALA manicipal.Niseme kitu hapa mkoa wa Ruvuma toka enzi ya Mwalimu haukuwahi kuwa na kiongozi kama yeye Hussen Katanga,na mkuu wake wa mkoa Said Said Kalembo,Katanga ni Kiongozi hasa sio mtawala,walimu wa mbinga na watumishi wengine kilasiku wanamkumbuka sana,wakuu mtanisamehe kwa kiswahili changu.
He sounds like Congolese
Garbage out, garbage in......yani we acha tu!Hawatampa badala yake itawekwa nazi ya
ajabuajabu mpaka
tukome! This country
bwana!
Uwanja wa kuombeana kazi huu, tofauti ya kimemo na hii ni nini
Huyu Bwana ni mchapakazi mzuri sana.
Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.
Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.
Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheo
Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
Hawatampa badala yake itawekwa nazi ya
ajabuajabu mpaka
tukome! This country
bwana!