Thread za aina hii zinahamishiwa chiti chati!Ingekua uungwana zaidi kama mngeanzisha kule kuwapunguzia mods kazi!
Imekuwa kero na mimi kesho nitaamka nakuanzishia thread Lizzy l.o.l ila seriously this habit its starting to annoy me.Thread za aina hii zinahamishiwa chiti chati!Ingekua uungwana zaidi kama mngeanzisha kule kuwapunguzia mods kazi!
Jaman huyu dada anayeitwa miss judith huwa namzimia sn hasa anapochangia mada humu jf,huwa c mtu wa kukurupuka na anawasilisha vilivyo binafs huwa anaukonga moyo wangu!miss judith upooo...?
Kama unamzimia mtu si umtumie tu PM umwambieTrue Lizzy, mbona mimi nakuzimia sijasema, naona sasa imekuwa ndio fashion, pia kuna ile huduma ya pm kwa nini wasitumie hiyo, maana anayependwa mwingine wanaombiwa wengine.
Kama unamzimia mtu si umtumie tu PM umwambie
Halafu wewe mbona weekend umenitosa niko peke yanguhalafu wewe.
Mi nishakurushia thread ya kukuzimia.
Hebu nenda jukwaa la dini utaiona.
Hata mimi nampenda miss judith.
Embu niPieM nikwambie tukutane wapi!True Lizzy, mbona mimi nakuzimia sijasema, naona sasa imekuwa ndio fashion, pia kuna ile huduma ya pm kwa nini wasitumie hiyo, maana anayependwa mwingine wanaombiwa wengine.
Wenzio hawamaanishi mapenzi ya hivyo husninyo ooh!
Imekuwa kero na mimi kesho nitaamka nakuanzishia thread Lizzy l.o.l ila seriously this habit its starting to annoy me.
Halafu wewe mbona weekend umenitosa niko peke yangu
Haya kalete kamba tukufungie hivi that thing was it helpfulKama kuanzisha waanzishe tu ila wangepeleka mahali husika!Mmmh mimi sitaki kuanzishiwa nataka kufungiwa!
Acha hizo wewe uko huko na sharobaro wako halafu unajifanya umekujanimekuja hadi pale, nimeng'aa sharubu mtu huonekani. Lol!
Naleta mnyororo!Mmmh what thing?Haya kalete kamba tukufungie hivi that thing was it helpful