Nampenda mwanaume mkorofi kiana....ni kweli?

i acknowledge a receipt of your submission, i hereby render my observations/ comments:-
1- kama sijakosea hii mada ni kwa wanawake tuu
2-Sie wanaume hatuna haki yoyote kimsingi kuchangia juu ya hayo uloyasikia kijiweni ukisubiria umeme urudi
3- wamiliki wa forum hii wanatakiwa kuanzisha vyumba maalumu vya kujadilia hoja za jinsia mbalimbali ili siku ingine isitokee mada kama hii inayohitaji kuchangiwa na jinsia "mke" ikatufanya watu wa jinsia "mme" kujiingiza humo
4- huwa unakaa vijiwe vya wanawake au huwa unapiga-chabo maongezi ya kina-mama na uloyatoa hapa ni ushahidi tosha kuwa nawe ni mwanamke
5- huelewi "unatakiwa kuwa aina gani ya mwanaume-proper mpaka upate mtazamo wa wanawake wanavyo-define a proper man" hii ki-saikolojia unaonekana kama unahitaji kumwona mshauri.
6- nashawishika kuamini kuwa "huna kifua" cha kuweka mambo unayosikia na kuyatafakari kwa kina mpaka uyalete hapa... sio kila hear-says zinatakiwa ku-go public

HAYA NILIYOYATOA HAPO JUU NI MAONI NA MTAZAMO WANGU BINAFSI JINSI NILIVYOIONA HII MADA...NOTHING PERSONAL OR INTENTIONAL OFFENSE TO MTOA MADA NA WENGINEO.

Who cares?
 
wapenwa,

napenda sana mwanume mcha Mungu!

1. anayejua na ku-appreciate utu na ubinadamu wake na wa wengine,
2. anayejua na kuappreciate jumuiya takatifu ya familia
3. anayejitoa kwa ajili ya familia yake kama vile Kristo alyojitoa kwa ajili ya kanisa! na
4. afanyae kila kitu kwa ajili ya utukufu wa Mungu hata kama ni "kumchapa mtu makofi" achape makofi kwa ajili yaukufu wa Mungu!

mbarikiwe sana wapendwa

Glory to God!

Thank you Miss. Ninalichukua hili la mwisho kwa ajili ya kulifanyia kazi.
 
i acknowledge a receipt of your submission, i hereby render my observations/ comments:-
1- kama sijakosea hii mada ni kwa wanawake tuu
2-sie wanaume hatuna haki yoyote kimsingi kuchangia juu ya hayo uloyasikia kijiweni ukisubiria umeme urudi
3- wamiliki wa forum hii wanatakiwa kuanzisha vyumba maalumu vya kujadilia hoja za jinsia mbalimbali ili siku ingine isitokee mada kama hii inayohitaji kuchangiwa na jinsia "mke" ikatufanya watu wa jinsia "mme" kujiingiza humo
4- huwa unakaa vijiwe vya wanawake au huwa unapiga-chabo maongezi ya kina-mama na uloyatoa hapa ni ushahidi tosha kuwa nawe ni mwanamke
5- huelewi "unatakiwa kuwa aina gani ya mwanaume-proper mpaka upate mtazamo wa wanawake wanavyo-define a proper man" hii ki-saikolojia unaonekana kama unahitaji kumwona mshauri.
6- nashawishika kuamini kuwa "huna kifua" cha kuweka mambo unayosikia na kuyatafakari kwa kina mpaka uyalete hapa... Sio kila hear-says zinatakiwa ku-go public

haya niliyoyatoa hapo juu ni maoni na mtazamo wangu binafsi jinsi nilivyoiona hii mada...nothing personal or intentional offense to mtoa mada na wengineo.

wewe pumbafuuuu!...yaani umeniharibia siku kwa mitazamo yako hasi juu ya wengine...anyway iam a real man_trust me
 
wapenwa,

napenda sana mwanume mcha Mungu!

1. anayejua na ku-appreciate utu na ubinadamu wake na wa wengine,
2. anayejua na kuappreciate jumuiya takatifu ya familia
3. anayejitoa kwa ajili ya familia yake kama vile Kristo alyojitoa kwa ajili ya kanisa! na
4. afanyae kila kitu kwa ajili ya utukufu wa Mungu hata kama ni "kumchapa mtu makofi" achape makofi kwa ajili yaukufu wa Mungu!


mbarikiwe sana wapendwa

Glory to God!
Nimependa mchango wako Miss Judith. Tuweke Mungu mbele katika matendo yetu. Lakini hilo la "Kuchapa mtu makofi" kwa ajili ya utukufu wa Mungu....ninaheshimu mawazo lakini sikubaliani nalo. Hofu yangu ni pale "wanyanasaji by nature watapokuwa wanatumia kivuli cha Mungu kunyanyasa na pengine hata kuua kwa jina la Mungu.
 
mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe..........................
 
Kuna siku tuliliongelea hili sana...asilimia kubwa ya wadada walisema wanependa wanaume ambao sio wapole kupitiliza....

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/133266-upole-14.html#post1956682
 
Nimependa mchango wako Miss Judith. Tuweke Mungu mbele katika matendo yetu. Lakini hilo la "Kuchapa mtu makofi" kwa ajili ya utukufu wa Mungu....ninaheshimu mawazo lakini sikubaliani nalo. Hofu yangu ni pale "wanyanasaji by nature watapokuwa wanatumia kivuli cha Mungu kunyanyasa na pengine hata kuua kwa jina la Mungu.

mpendwa MAMAMIA,

hilo la kuchapa mtu makofi kwa ajili ya utukufu wa Mungu ni neno la kufikirisha, kumbuka Bwana Yesu alichapa watu mijeledi katika kurudisha heshima ya nyumba ya Baba yake, au zingatis kuwa hata Bwana wetu alipoinuliwa, alituvuta wote kwa Mungu kwa ajili ya utukufu wake. may be that is too extreme for this statement, lakini kwa kifupi, kila tulifanyalo kwa neno au kwa tendo, tufanye katika jina la Bwana Yesu tukimshukuru Mungu Baba kwa Yeye (Wakolosai 3:17)

ubarikiwe sana mpendwa
 
Back
Top Bottom