Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Duh!! Umenikumbusha mbali sana mkuu enzi hizo nadesa BIOZ!!
survivor of the fittest.....
survivor of the fittest.....
BE,Bacha,etc Hawa watu wako wapi?kweli wanatiwatiwa hovyo vidole machoni wanabaki kimya??Dena Amsa inaelekea umeridhia sikusikii kukemea kwa nguvu zako unaishia kusema eti nita ku pm!!!wewe leo wakusema hivyo??hata fungate alijaisha?!!nijuzi tumewafungisha ndoa na BE mwenyewe ukatamka BE ndo moyo wako umejikwaa kwake leo hii unashawishika kwa jasiri??kweli Dena Amsi????siamini!!
Sema usikike mkuu ha unaogopa nini???
Dena umejihisi nini mbona umechangamkia sana, msisitizie akwambie huyo1