arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Habari zenu waungwa,
Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu
nilikua nae kwa mda wa miaka 8, ghafla nilikua na mimba yake akasema hayuko tayari niitoe,kwakua sikua na nia mbaya na yeye nikasikia kua anamtoto wa njee huku akisema nakupenda mpenzi nakupenda, sikutaka hata kumueleza nini kimetokea nimemwandikia ujumbe mfupi kua mimi na yeye basi sababu nimemueleza mdogo wake amenatosha kumueleza lakini maumivu nilionayo anajua Mungu,naombeni msaada wenu,lakini kurudi sitaki.
Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu
nilikua nae kwa mda wa miaka 8, ghafla nilikua na mimba yake akasema hayuko tayari niitoe,kwakua sikua na nia mbaya na yeye nikasikia kua anamtoto wa njee huku akisema nakupenda mpenzi nakupenda, sikutaka hata kumueleza nini kimetokea nimemwandikia ujumbe mfupi kua mimi na yeye basi sababu nimemueleza mdogo wake amenatosha kumueleza lakini maumivu nilionayo anajua Mungu,naombeni msaada wenu,lakini kurudi sitaki.