mark 47
Member
- Jul 24, 2016
- 17
- 15
Kuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!
Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??
Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!
Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience