I was jus kiddin. Kwanza tambua kila likuepukalo ni kheri, kama hataki we chuna tu, usimlazimishe punda kubeba contena, atakufa alaf ujilaumu. Kama hataki tupa kushoto angalia ustaarab mwengine..Ivi inawezekana hayo mambo yakawepo syo?
Wewe utakua shabiki wa ccm tu...I was jus kiddin. Kwanza tambua kila likuepukalo ni kheri, kama hataki we chuna tu, usimlazimishe punda kubeba contena, atakufa alaf ujilaumu. Kama hataki tupa kushoto angalia ustaarab mwengine..
Ila kama unaweza niPM namba yake ya simu nijaribu kukusaidia kumuelewesha
Hahaha Kwani hamuonagi mond snapchat achukue maujuzi nene.Kama anapenda visharobaro nawe kuwa sharobaro.Kwani kuna ugumu gani kuwa sharobaro au Mzee huwezi kulamba lips?
We utakuwa mwanaume wa mkoani
Kwa hiyo wanaume wa mikoani huwa wanapata shida sana?Ungekuwa ni mwanaume wq dar wala asingekusumbua. Zubaa hapo
Yap, hawajui kudance accodingly. Utakuta linapigwa Rhumba yeye anacheza MayenuKwa hiyo wanaume wa mikoani huwa wanapata shida sana?
Acha tuwanyooshe tu, maana hakuna namnaKwa hiyo wanaume wa mikoani huwa wanapata shida sana?
Achana na hivyo visista duuuh! ng'enye isikuendeshe kihivyo mpotezee vumilia utapata binti anayejitambua huyo dabo akili zake hazijapevuka.Anasema siyo type yake
fala sanaKama anapenda visharobaro nawe kuwa sharobaro.Kwani kuna ugumu gani kuwa sharobaro au Mzee huwezi kulamba lips?
We utakuwa mwanaume wa mkoani
Wapo wengi tu lakini kumpenda MTU si kitu cha kuamua kinatokea automaticHakuna wengine?
Hujawahi kupenda ww ndo maana jeuri!! Ukipenda unakua boyaHivi inakuaje mwanaume unalilia mwanamke?nyie wenzangu huwa mna mioyo ya namna gani?
Ha ha ha bas nitajaribu kuhamia darUngekuwa ni mwanaume wq dar wala asingekusumbua. Zubaa hapo
Bas tuna balaa mkuuKwani lazima kuwa na mwanamke km amakataa we chukua time tu, mie mbona sina mwanamke lakini naenjoi life tu, mimi mwenyewe huwa wananikataa km ww