Nampenda binti wa chumba cha jirani

Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Umri wako tafadhali
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Umeoa au umeweka ndani kienyeji,iwapo umeoa na bado unawaza hayo jua life limekushinda kabla ya kuanza,ila kama unatafuta kuoa na hujapata endelea kutafuta ila sii kwa mtindo wa chumba jirani,vinginevyo utafungua bucha la nyama isiyolika hapo hivi karibuni🤣
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Tamaa mbaya
 
Umeoa au umeweka ndani kienyeji,iwapo umeoa na bado unawaza hayo jua life limekushinda kabla ya kuanza,ila kama unatafuta kuoa na hujapata endelea kutafuta ila sii kwa mtindo wa chumba jirani,vinginevyo utafungua bucha la nyama isiyolika hapo hivi karibuni🤣
huo ndio ushauri unaotakiwa sasa
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Chanzo cha umaskini
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Usimjali mke wako, wewe chapa tu huyo msichana na mkeo akijuwa mnunulie khanga mpya na Iphone 15.
 
kipato changu kwanza wakijua
Hulka tabia na mienendo ya hivyo ndio njia kuu ya kuendelea kuwa maskini.....
Ref.ungekuwa na pato la kueleweka usingekuwa kwenye mazingira ya hivyo..." chumba cha jirani"... ungekuwa kwenye mjengo wako...fenced.
 
Back
Top Bottom