Ugonjwa wa wengi huoBinti wa chumba cha jirani😁😁😁
View attachment 2840138
Umri wako tafadhaliWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Umeoa au umeweka ndani kienyeji,iwapo umeoa na bado unawaza hayo jua life limekushinda kabla ya kuanza,ila kama unatafuta kuoa na hujapata endelea kutafuta ila sii kwa mtindo wa chumba jirani,vinginevyo utafungua bucha la nyama isiyolika hapo hivi karibuni🤣Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Inaweza kuwa chini 18🏃Umri wako tafadhali
Unavyopanic unazidi kuonesha kwamba wewe ni kinda badoAcha uboya nilijua tu watu tuko humu kitambo hii ni acc mpya tu baada ya kwanza kuungua
Tamaa mbayaWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
huo ndio ushauri unaotakiwa sasaUmeoa au umeweka ndani kienyeji,iwapo umeoa na bado unawaza hayo jua life limekushinda kabla ya kuanza,ila kama unatafuta kuoa na hujapata endelea kutafuta ila sii kwa mtindo wa chumba jirani,vinginevyo utafungua bucha la nyama isiyolika hapo hivi karibuni🤣
mwambiemkuu Mimi mwenyewe niko chumba hiki cha nne kutokea hapo kwahuyo binti ila nimevutiwa na mkeo sijui nifanyeje?
Chanzo cha umaskiniWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
kipato changu kwanza wakijuaChanzo cha umaskini
Usimjali mke wako, wewe chapa tu huyo msichana na mkeo akijuwa mnunulie khanga mpya na Iphone 15.Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Role model wake ni mwijaku, Baba level na takataka Lucas MwashambwaAina hii ya vijana wanamchango mdogo sana katika Taifa.
Hulka tabia na mienendo ya hivyo ndio njia kuu ya kuendelea kuwa maskini.....kipato changu kwanza wakijua
kati ya wewe na mwijaku+baba levo nani anahela na exposure kubwaRole model wake ni mwijaku, Baba level na takataka Lucas Mwashambwa
sasa hii ndo mali safiiiBinti wa chumba cha jirani😁😁😁
View attachment 2840138
Anaishi na mama ake mkuuUsimwambie lolote
Ila ,mwombe ukampangie sehemu ingine kodi ikiisha kisha atajiongeza