Namna ya kuamsha hamasa ya mwanamke

mkuu Joseph Iba tu lakini si unajuwa Za mwizi zake ni siku 40................... ikifika Arubaini yako utakamatwa....... iba lakini uende mbali na unapokaa wasije majirani wakakuchomea kwa mke wako...................
Mzizi mkavu kuiba huku ni ngumu sana maana watu wanajuana na hata ukiamua kwenda zile sehemu za kupumzikia unajulikana tu kuwa wewe ni mwizi mbaya zaidi zana za vita kupata ni ngumu hivyo kulifanya zoezi zima kuwa gumu,najaribu kuweka akili yangu kwenye kazi ila yule mwanamke kanifanyia mbaya sana.
 
hahahahhaahhahhaha mi nitatoa nondo baadae bana !unataka nisifundishe nini leo!lol

mmmh na kweli maana hii mambo ukiiweka tu kichwani hukawii kufika darasani na kuwaambia wanafunzi wako kuwa leo tunajifunza "jinsi ya kuchuma mchicha, mende anavyokufa, mbuzi mzee aliyegoma kwenda na ......"
 
Mzizi mkavu kuiba huku ni ngumu sana maana watu wanajuana na hata ukiamua kwenda zile sehemu za kupumzikia unajulikana tu kuwa wewe ni mwizi mbaya zaidi zana za vita kupata ni ngumu hivyo kulifanya zoezi zima kuwa gumu,najaribu kuweka akili yangu kwenye kazi ila yule mwanamke kanifanyia mbaya sana.
Mkuu Joseph mkuu ninakuona kama wewe ni Mmasai? naona kama uko kule moshi kibosho nini? kwa sababu mimi nilikuwepo moshi miaka ya 1976 ninawajuwa wamasai ni watu kufuga kazi yao kubwa na kama ungelikuwepo Dar ningelikuuliza upo sehemu gani? kwa sababu Dar ni mji mkubwa kama unakaa dar ilala waweza kwenda kinondoni au kama unakaa temeke waweza kwenda ubongo si unajuwa mji wadar ulivyokuwa mkubwa kaka?
 
karibu MMU, na karibu JF...huko ulipo mvua yanyesha au ?
huku nilipo baridi inaanza natafuta wa kumkubatia mwanamke anitie joto la mwili nimekumbatia Mablanketi tu nimechoka shemeji yako yuko huko huko bongo ahhhhhh watu8 Ulaya pasipo na mwanamke hakuna raha haswa kipindi hiki cha baridi weee wacha mkuu.......
 
Last edited by a moderator:
Duh! Kwa hiyo kwenu sikukuu ni ijumaa na jumamosi tu. Ratiba anasimamia nani?
MziziMkavu Mpwa leo vipi leo? subiri bhana ifike japo ijumaa eeeh, hii ni ya pili naiona una post tangu asubuhi sasa unaniumiza sana maana tayari nimeshaacha kitanda nipo kwa mwajiri, usitake nianze kufikiria mbali Mpwa, tafadhali sana, laiti ingekua Ijumaa fulani hivi au jumamosi lazima jumatatu ningekuletea feedback....subiri nimfowadieMy wife wangu ilai kesho nikichelewa job utakuwa responsible kwa huu usumbufu utakaokuwa umeusababisha hahahahhaahahaaa
 
huku nilipo baridi inaanza natafuta wa kumkubatia mwanamke anitie joto la mwili nimekumbatia Mablanketi tu nimechoka shemeji yako yuko huko huko bongo ahhhhhh watu8 Ulaya pasipo na mwanamke hakuna raha haswa kipindi hiki cha baridi weee wacha mkuu.......

yeah i can imagine ndio mwaelekea winter sasa...
 
Mkuu Joseph mkuu ninakuona kama wewe ni Mmasai? naona kama uko kule moshi kibosho nini? kwa sababu mimi nilikuwepo moshi miaka ya 1976 ninawajuwa wamasai ni watu kufuga kazi yao kubwa na kama ungelikuwepo Dar ningelikuuliza upo sehemu gani? kwa sababu Dar ni mji mkubwa kama unakaa dar ilala waweza kwenda kinondoni au kama unakaa temeke waweza kwenda ubongo si unajuwa mji wadar ulivyokuwa mkubwa kaka?
Mzizi mkavu nipo Zanzibar sehemu ambayo kwanza huwezi kupata kinga kwa urahisi kutokana na huku kutotumika sana kwani ni kinyume na dini na hata maduka ya madawa hayauzi kabisa kinga za mapenzi.

Huku watu wanajuana kiasi kwamza hata ukichukua mtoto wa mtu utashangaa unapigwa ndoa ya mkeka bila kupenda na mbaya zaidi ukiwa unatoka bara basi ujue wanakufilisi.
 
Duh! Kwa hiyo kwenu sikukuu ni ijumaa na jumamosi tu. Ratiba anasimamia nani?
Sikukuu ni siku mbili au tatu tu King'asti kwangu mimi sikukuu ni siku yoyote ile ninayokuwa na furaha moyoni mwangu ndio ni sikukuu

yangu mimi. Sikukuu kubwa kwangu mimi ni 3 sikukuu ya kwanza ni ile nilivyozaliwa mimi Mama yangu alifurahi sana na sikukuu

ya pili siku ile niliyoowa Mke wangu ilikuwa ni sikukuu kubwa sana kwangu mimi na sikukuu ya mwisho siku Mke wangu alivyopata mtoto

wangu wa kwanza hizo ndio sikukuu zangu mimi ninazozifurahia kila nikikumbuka Mama yangu alivyonizaa na kunilea kwangu

mimi huwa ni sikukuu kubwa sana sina cha kumlipa marehemu mama yangu ila ni kumuombea dua kwa Mungu amsamehe madhambi yake Mama yangu na Baba yangu Ameen.
 
MziziMkavu Mpwa leo vipi leo? subiri bhana ifike japo ijumaa eeeh, hii ni ya pili naiona una post tangu asubuhi sasa unaniumiza sana maana tayari nimeshaacha kitanda nipo kwa mwajiri, usitake nianze kufikiria mbali Mpwa, tafadhali sana, laiti ingekua Ijumaa fulani hivi au jumamosi lazima jumatatu ningekuletea feedback....subiri nimfowadieMy wife wangu ilai kesho nikichelewa job utakuwa responsible kwa huu usumbufu utakaokuwa umeusababisha hahahahhaahahaaa

Aga unaenda hospitali upitie na ED uka_DEMO.
 
Mzizi mkavu nipo Zanzibar sehemu ambayo kwanza huwezi kupata kinga kwa urahisi kutokana na huku kutotumika sana kwani ni kinyume na dini na hata maduka ya madawa hayauzi kabisa kinga za mapenzi.

Huku watu wanajuana kiasi kwamza hata ukichukua mtoto wa mtu utashangaa unapigwa ndoa ya mkeka bila kupenda na mbaya zaidi ukiwa unatoka bara basi ujue wanakufilisi.
Polesana wewe upo kwa watu wa uamsho Joseph Uko hakuna mchezo kwa ndugu zangu yakhe wanajuana kwa kila hali usifanye mchezo huko utaozeshwa ndoa ya mkeka usijaribu kabisa......................

Sio njia zuri ya kuanza siku at all, ukizingatia huku mvua inanyesha umeyapeleka mawazo yangu kusiko............asante lakini kwa mkaribisho lakini
bibie Elizabeth Dominic pole sana nimekuamsha vibaya usijali kila la kheribibie ..........................
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom