Namkumbuka lakini simtamani

Ameikariri mbona


Sent from my iPhone using JamiiForums
Itakuwa kweli aisee mkuu. Maana hawa viumbe siku hizi hawahifadhi namba za michepu kwenye simu. Utakaa unachunguza simu kutwa kucha hukuti chochote. Na sms zote zikiingia tu wanabonya 'delete'. Hahahahaaaa
 
Itakuwa kweli aisee mkuu. Maana hawa viumbe siku hizi hawahifadhi namba za michepu kwenye simu. Utakaa unachunguza simu kutwa kucha hukuti chochote. Na sms zote zikiingia tu wanabonya 'delete'. Hahahahaaaa

Mmmh.sio kwel sna namba ake mm
 
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.

Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.

Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.

So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.

Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.

Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.

Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.

Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.

Just memories
We bado unampenda ...!!
 
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.

Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.

Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.

So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.

Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.

Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.

Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.

Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.

Just memories
Kwa hauja pata mwingine mimi nipo
 
U
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.

Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.

Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.

So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.

Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.

Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.

Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.

Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.

Just memories
Uyo alikuwa anakupenda sana....kiasi roho inamruka anahisi unaibiwa.....ukiona mtu hana tym usifurahie jua u have no value

Umepoteza wiseman
 
U

Uyo alikuwa anakupenda sana....kiasi roho inamruka anahisi unaibiwa.....ukiona mtu hana tym usifurahie jua u have no value

Umepoteza wiseman
Aagha wapi. Too much is harmful
 
Back
Top Bottom