grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Unakimbia kujibu swali...hata hivyo wenye akili timamu wamekuelewa ulivyo...Sdhan kama prefex inafit jukwaa la wakubwa..
Unakimbia kujibu swali...hata hivyo wenye akili timamu wamekuelewa ulivyo...Sdhan kama prefex inafit jukwaa la wakubwa..
Itakuwa kweli aisee mkuu. Maana hawa viumbe siku hizi hawahifadhi namba za michepu kwenye simu. Utakaa unachunguza simu kutwa kucha hukuti chochote. Na sms zote zikiingia tu wanabonya 'delete'. HahahahaaaaAmeikariri mbona
Sent from my iPhone using JamiiForums
Itakuwa kweli aisee mkuu. Maana hawa viumbe siku hizi hawahifadhi namba za michepu kwenye simu. Utakaa unachunguza simu kutwa kucha hukuti chochote. Na sms zote zikiingia tu wanabonya 'delete'. Hahahahaaaa
Amalize kabisa hii habari ya nusu nusu jau mkuuWewe unahs nn kfuatach I.t.v???
We bado unampenda ...!!Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.
Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.
So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.
Just memories
Kwa hauja pata mwingine mimi nipoNilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.
Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.
So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.
Just memories
Aisee nilijua umefanya mazimaAsante, but Nilishapata. Niko nae.
hunafkr kumtamani Ex huwa kunaanza na mbio za mwenge ?
enhenhenhnh
Uyo alikuwa anakupenda sana....kiasi roho inamruka anahisi unaibiwa.....ukiona mtu hana tym usifurahie jua u have no valueNilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.
Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.
So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.
Just memories
U had to control the harm and enjoy the rest... Next time kubali maana hutompata anayekupenda alaf hakuchungiAagha wapi. Too much is harmful