Hapana MtamaMchungu haiwez fkia huko
We wasema lakini kilichopo hapo ni dormant volcano waiting for a small crevice to explode.
Ndiye mpenzi wako halali japo unajikimbia. Jambo la kumwaza ni uthbitsho tosha. Kaeni yamalzen japo wajiamin utapata mwingne ila hatokuwa real choice.
Huu uandishi wa vifupisho unaleta shida kwa sisi wazee
Usseme hvo Antidius Mutalemwa kwan baada ya miez kama sita hv nlpata mtu na nnae mpaka sasa na tuna maendeleo mazur tu.hope huyu wa sasa ndie chaguo langu
Hii inaitwa state of denial, you still love the guy. Kama una miezi sita na mtu mwingine and you still remember (fantasize?) about your past romance, ni ishara kwamba bado yupo ndani yako.
Trust me there is a part of you that is weak about him, siku akikutaka hutakataa, utaenda tu.
Either way, nisiusemee moyo wa mtu.
Unaona sasa, unaniuliza mimi kama nafahamu jukwaa la wakubwa, wewe mwenyewe hata taratibu za kujiunga huko huzijui? Unakashifu anayeishi Ikulu wakati upo nchi wa watu!!Bas poa tuwekee wewe mwandko wako mzur kama utalipwa.huyo invisible ameandkiwa yeye??
Unaona sasa, unaniuliza mimi kama nafahamu jukwaa la wakubwa, wewe mwenyewe hata taratibu za kujiunga huko huzijui? Unakashifu anayeishi Ikulu wakati upo nchi wa watu!!
Wewe unahs nn kfuatach I.t.v???
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.
Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.
So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.
Just memories
Unahisi unajua kutukana sana kuliko wengine....kwani aliyeanzisha suala la kujiunga na jukwaa la wakubwa ni nani kati yangu mimi na wewe? Hebu jibu hilo swali ili dunia ione kiasi gani ulivyo na akili timamu...We lofa kwel.nijiunge au nsjiunge na jukwaa la wakubwa m inanihusu nn?? U get an empty thinking mind. .
Mkikutana lazima mpashe KIPORO,,,na kiporo kinapashwa na moto mchache kwa hizo hizo unazozikumbuka kisses zake,romantic conditions.
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Unahisi unajua kutukana sana kuliko wengine....kwani aliyeanzisha suala la kujiunga na jukwaa la wakubwa ni nani kati yangu mimi na wewe? Hebu jibu hilo swali ili dunia ione kiasi gani ulivyo na akili timamu...