unafkr kumtamani Ex huwa kunaanza na mbio za mwenge ?
enhenhenhnh
We imekuhusu vp mpk unajibu quote isiyokua yako
Nasikitika unajibishana na brain wash. Huyu hafai hata kuwa kwenye ignore list yako. Nimejaribu kusoma post yake na jinsi anavyoreact kwa post za watu nika-conclude ni zero upstairs. Hata ID yake inaonesha jinsi alivyo hovyo. Mtu mwenye akili timamu hawezi kujiita kan'tangaze. Worse enough anajidai yupo higher learning institution hapa Bongo. Kama ni kweli basi kuna tatizo la msingi katika mfumo wa elimu ya Tanzania miaka hii.
cc: kan'tangaze
Nasikitika unajibishana na brain wash. Huyu hafai hata kuwa kwenye ignore list yako. Nimejaribu kusoma post yake na jinsi anavyoreact kwa post za watu nika-conclude ni zero upstairs. Hata ID yake inaonesha jinsi alivyo hovyo. Mtu mwenye akili timamu hawezi kujiita kan'tangaze. Worse enough anajidai yupo higher learning institution hapa Bongo. Kama ni kweli basi kuna tatizo la msingi katika mfumo wa elimu ya Tanzania miaka hii.
cc: kan'tangaze
Weird..ndio maana haukukaa wewe necta coz watu wange fel ksa kjba cha roho yako.et unamtafta mtu ka comment nn na ameandka nn!! Loh! Yatakushnda.eeeeh. kan'tangaze babuu
Kwahyo ultaka wooote humu ndan tuwe na id za kzungu??? mxyuuuuuu.na haitok ng'oo.kama una chuk vaa miwan usone gere mwaya
Rubbish at its whole. Tunategemea mtu anapofika level fulani ya taaluma lazima uwezo wa kufikiri, kupambanua mambo na audience presentation ubadilike lakini kwako ni kinyume kabisa. Usiaibishe JF, jukwaa adhimu hii.
Yaan wewe kwa haraka haraka tu unaonyesha jns gan ulvo na roho mbaya et jf imeingliwa ultaka ubak peke yako.??? Acha tabia za kike