Namkubali sana Luhaga Mpina kwa hoja anazotoa Bungeni. Apinga sheria ya kununua vitu used

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
388
773
luhaga.jpg

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
Amechelewa sana kuamka, hapo nyuma alikuwa kinara wa kuchoma moto nyavu za wavuvi na kuleta samaki bungeni kuwapima na rula. Luhaga Mpina amechelewa sana kuamka usingizini, japo angalao kawaacha wale wenzake wa kijami wakiwa usingizini.
 
Hawa jamaa bana, yaani wanajitengenezea ulaji kwa kila njia possible.
1. Wanakubali kununua mtumba ili wapandishe bei wanavojua wao
2. Wanatengeneza tume za wataalam hewa watakaopewa mgao ili wapitishe
3. Wanatengeneza means ya kuonyesha kua after like 3 years huo mrumba haufai so inabd ununuliwe mpya ili wapate tena.
4. Watatengeneza vikao na ukaguzi mara kwa mara ili wale per diem n.k

UOzo na uchafu ni mwingi sana alaf tunasema huo ndo mhimili?
Mhimili wa nyoko!
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
Ila tuna speaker kilaza do hiv hiyo PhD huwa wanasemea kitu ganj
 

Mhe. Mpina binafsi nakuvulia kofia kwa hoja zenye mashiko unazozitoa pale Bungeni. Jana wakati wa kupitisha Sheria ya manunuzi Mhe. Mpina alikuwa kinara wa kuishauri Serikali katika vipengele anavyoviona kuwa vinahitaji marekebisho.

Jana alimtoa jasho Waziri wa Fedha kila mara kutoa ufafanuzi kuhusiana na hoja zake. Ilifikia wakati mpaka Waziri wa Fedha anapata jazba kuhusiana na hoja zake ambazo kwa kweli zilikuwa hoja zilizo na mashiko.

Nimeona karibu Wabunge wengi hawapitii hizi sheria kabla hazijaingia Bungeni na jana asilimia 99 walikuwa kimya isipokuwa Jemedari Mhe. Mpina. Mhe. Mpina kwa kweli anasoma na kufanya utafiti ndo maana ushauri wake pengine unawaudhi wahusika.

Mwisho, nikupongeze Mhe. Mpina endelea kuishauri Serikali hata pale unapochukiwa.
Hii siyo hallo effect kweli. Google hallo effect utanielewa nilichomaanisha
 
Hivi unafikiri sisi tu walala hoi tunaonunua nguo za kafa ulaya? Hata serikali yetu inataka kuiga sisi walala hoiii
 
Back
Top Bottom