Wadau naomba mnipe msaada wa haraka jana nimepigiwa simu na namba 0272549255 nikijulishwa kwamaba leo mchana nitafanyiwa interview ya ombi langu la kazi kwa njia ya simu.
Wakati hajamaliza kusema ni taasisi gani simu ikakatika aliishia kuniambia nafasi ya hr-
nimejaribu kupiga siku nzima simu iko busy na leo asubuhi pia.
Nashindwa kujua ni idara gani au taasisi gani kwani ndani ya mwaka huu tuu nimetuma maombai ya kazi sehemu sio chini ya 30.
Nisaidieni wadau nijue namba hiyo ni ya sehemu gani kwani siwezi nikajibu ipasavyo baadhi ya maswali bila kuijua taasisi yenyewe na kuifanyia online research hasa kujua kazi zao kwa undani.
Nisaidie wadau nina saa mmoja tu limebaki.
Wakati hajamaliza kusema ni taasisi gani simu ikakatika aliishia kuniambia nafasi ya hr-
nimejaribu kupiga siku nzima simu iko busy na leo asubuhi pia.
Nashindwa kujua ni idara gani au taasisi gani kwani ndani ya mwaka huu tuu nimetuma maombai ya kazi sehemu sio chini ya 30.
Nisaidieni wadau nijue namba hiyo ni ya sehemu gani kwani siwezi nikajibu ipasavyo baadhi ya maswali bila kuijua taasisi yenyewe na kuifanyia online research hasa kujua kazi zao kwa undani.
Nisaidie wadau nina saa mmoja tu limebaki.