To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,502
- 66,454
- Thread starter
- #281
Ubarikiwe sana loveTo yeye ,,,,najua tumekuwa na utani wa kimapenzi humu ndani kama kuitana wapenzi na makopakopa lkn kwa ajili ya kufurahi tu na mwisho siku inapita.
Kwa roho safi kabisa nashauri kubali kuolewa na huyo mwamba nahisi ana roho nzuri kama yangu, na kama anapenda watoto wako hiyo ni point kubwa mno
Wakati mwingine tunakosa mambo mazuri kwasababu ya hofu zisizo za msingi, ishinde hiyo hali kwa kuamini kila kitu kitaenda kuwa sawa
Kama unaamini he is the one basi usiuweke usiku olewa na huenda ukaja kufurahia maisha ya ndoa ambayo hukuyapata hapo kabla
Nimekupa baraka zangu zote
Mpenzi wako wa zamani wa jf
Etugrul bey