nerilan
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 418
- 606
Hapo nadhani tafsiri hujaiweka sawa mkuu. Afanyaye uasherati ni yule aendaye nje ya ndoa, ilhali yuko na ndoa.uasherati ni Kitendo cha kufanya tendo la NDOA nje ya utaratibu Yaani nje ya NDOA Kwaiyo aliposema isipokua kwa habari ya uasherati alimaanisha kwa watu ambao Bado hawajaunganishwa kwa NDOA takatifu mfano wa wachumba mmoja wao akitenda ngono hiyo ni halali kutengana Lakini sio kwa Wanandoa waliofunga NDOA takatifu
Na hili ni swali aliulizwa Yesu juu ya maswala ya talaka na jinsi watu walivyoishi chini ya sheria za Musa.
Ukiangalia hapo, kiimani mtu anayetengana na mke au mume, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, naye akaenda kuolewa/kuoa na mtu mwingine, basi yule aoae au anayeolewa anafanya zinaa/kuzini.