Nakuuliza hivi Mheshimiwa JK...

Siyo vizuri kulaumu. Ingekuwa vizuri ukapendekeza mtu au watu kutoka Zanzibar ambao wanauwezo sawa au zaidi. Hatuwezi ku compromise kwa sababu anatoka sehemu fulani.
 
Siyo vizuri kulaumu. Ingekuwa vizuri ukapendekeza mtu au watu kutoka Zanzibar ambao wanauwezo sawa au zaidi. Hatuwezi ku compromise kwa sababu anatoka sehemu fulani.


mkuu mbona kuna vichwa vikali tu zenji viloenda shule,tena sio shule PUMBAVU za kugaiwa vyeti,mkuu kule kuna watu wapo SMZ wamekula HARVARD etc na wana first class CPA,masuala ya BANKING ndio wanayatesa kinoma plus working experienced.
 
mkuu mbona kuna vichwa vikali tu zenji viloenda shule,tena sio shule PUMBAVU za kugaiwa vyeti,mkuu kule kuna watu wapo SMZ wamekula HARVARD etc na wana first class CPA,masuala ya BANKING ndio wanayatesa kinoma plus working experienced.


Wataje kwa majina acha longolongo
 
Wapi GAVANA ametoka kama Bara or ZANZIBAR sio issue kwangu mimi, just kama ana sifa zinazofaa na atafanya kazi kwa mujibu wa sharia zilizopo. ZANZIBAR kama itanyongwa basi ni upumbavu wa hao watunga sharia wa huko ZANZIBAR wanaolala Dodoma.

Naamini ZANZIBAR wana hisa BOT na ni sehemu ya Jamhuri lakini pia PRESIDEE wa Jamhuri ndie mwenye mamlaka kisheria kuteua GAVANA wa BOT, Hivi kuna ushirikishwaji wa ZANZIBAR katika uteuzi kama huu, kwamba wanachat PRESIDEE wawili? au kwa vile wa ZANZIBAR presidee ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri (MUUNGANO) so hawashi hazimi? yaani hakuna ulazima wa maongezi!

Na sio GAVANA tu bali nafasi zoote nyeti MUUNGANO.
Mwenye kujua anifunue kichwa
 
Naona kama Visiwani hakuna Mafisadi kama bara- angalia huu wizi wa BoT hizi kampuni zote za bara- may be key sectors za uchumi wapewe tena watu wa visiwani kutokana na uadilifu wao!
 
Watanzania wa Visiwani wana haki kuuliza juu ya haya mambo- tusitoke kwenye hoja Visiwani ni sehemu ya Muungano!

Kama kuna wanaotoka Visiwani na wanaqualify- hoja ni kwa nini tangu 1966 tangu BoT kuanzishwa hajateuliwa gavana yoyote toka Visiwani?

Mimi naona ni hoja yenye nguvu! Tusitoke nje kwa kuwa na maneno ya kejeli kwa hii hoja unecessarily!

Majibu ya kihuni ya hii hoja- not fair? We can argue better!
 
Mzalendohalisi,
Hata Z'bar kumejaa ufisadi. Juzi namsikia Mhe Karume akisema kumekuwa na malipo ya mishahara kwa watu ambao walishafariki miaka nenda rudi. Nani alikuwa anafaidi mishahara hiyo?
 
Wewe na epevu wako wa akili unaona ni sawa tunavyosema Muungano na bado kuna marais wawili? Nyie Zenji acheni unyonyaji wa kijinga, ikija suala la Bara mnataka share, ikija suala la Zenj, tuna bodi yetu wenyewe ya umeme? Wapi na wapi?
 
Watanzania wa Visiwani wana haki kuuliza juu ya haya mambo- tusitoke kwenye hoja Visiwani ni sehemu ya Muungano!

Kama kuna wanaotoka Visiwani na wanaqualify- hoja ni kwa nini tangu 1966 tangu BoT kuanzishwa hajateuliwa gavana yoyote toka Visiwani?

Mimi naona ni hoja yenye nguvu! Tusitoke nje kwa kuwa na maneno ya kejeli kwa hii hoja unecessarily!

Majibu ya kihuni ya hii hoja- not fair? We can argue better!
Kweli yakhe haki wanayo lakini ukumbuke BoT ilikuwa sio part ya muungao, si unajuwa muungano wetu wa usanii sanii. Visiwani kuna Peoples Bank of Zanzibar iliyokuwa ikishughulikia mambo hayo yanayofanywa na BoT huku bara. Mpaka recently ilivyosambaratishwa. Kwa hiyo BoT si muda mrefu sana toka iwe inashughulikia mambo ya visiwani pia. Lakini, nadhani jengo la BoT pale Zanzibar lipo tayari na lazima litakuwana ofisi ya gavana kwa hiyo ni mwanzo mzuri.

Pia nakumbushia tuu, mboni smz inawasahau sana wa pemba kwa nyadhifa mbali mbali hapo visiwani? tena ukikumbuka kwamba wa pemba ni vichwa yaani wengi wamesoma sana lakini ndio hivyo tena, hawatambuliki sijui au wanabaguliwa, ndio yale yale kama walivyo baguliwa wangazija wasomi ndio yanayojiri kwa wapemba hii leo.

mimi si mpemba yakhe, lakini ukweli ni huo, au system huijuwi wewe?
 
Mzalendo halisi.....

hayo maneno ulosewma ni kweli kabisa.hivi kweli since tuungane na tuweke shares zetu BoT basi mpaka leo hii GAVANA kutoka znz inashindikana.

Jasusi

weka LINKS umepata wapi hizo news.

 
Kweli yakhe haki wanayo lakini ukumbuke BoT ilikuwa sio part ya muungao, si unajuwa muungano wetu wa usanii sanii. Visiwani kuna Peoples Bank of Zanzibar iliyokuwa ikishughulikia mambo hayo yanayofanywa na BoT huku bara. Mpaka recently ilivyosambaratishwa. Kwa hiyo BoT si muda mrefu sana toka iwe inashughulikia mambo ya visiwani pia. Lakini, nadhani jengo la BoT pale Zanzibar lipo tayari na lazima litakuwana ofisi ya gavana kwa hiyo ni mwanzo mzuri.

Pia nakumbushia tuu, mboni smz inawasahau sana wa pemba kwa nyadhifa mbali mbali hapo visiwani? tena ukikumbuka kwamba wa pemba ni vichwa yaani wengi wamesoma sana lakini ndio hivyo tena, hawatambuliki sijui au wanabaguliwa, ndio yale yale kama walivyo baguliwa wangazija wasomi ndio yanayojiri kwa wapemba hii leo.
mimi si mpemba yakhe, lakini ukweli ni huo, au system huijuwi wewe?

zomba....

historia ya waPEMBA smz nafikiri wa kuulizwa ni SSH(KK/mkuu wa CUF),inasemakana enzi zake alivyokuwa waziri wa elimu alikuwa na ajenda kubwa sana ya kusomesha waPEMBA watupu.inasemakana zikija nafasi 20 za kusoma basi alikuwa anazigawa sawa,10 unguja na 10 pemba na zaidi zile za unguja wanapewa wapemba wanaoishi znz na 2-3 ndio wanapewa wa-znz walotoka mashamba etc.na ndio maana asilimia kubwa ya wasomi ni jamaa wa kipemba.hata hivyo since then naona kumekuwa na mgawanyo mzuri tu wa nafasi za masomo nafikiri kwa sasa asilimia ya wasomi wa unguja inalinagna na ile kutoka pemba.
Hilo la wangazija sina uhakika nalo labda tumsubiri MTU WA PWANi aje alijibu.
 
Mzalendohalisi,
Hata Z'bar kumejaa ufisadi. Juzi namsikia Mhe Karume akisema kumekuwa na malipo ya mishahara kwa watu ambao walishafariki miaka nenda rudi. Nani alikuwa anafaidi mishahara hiyo?
Tatizo la mishahara hewa lipo Zenj, na wizara yenye usugu wa suala hilo ni Wizara ya Afya...
 
Kama unaona yupo mtaje!

shaka umenena! kama unaona kuna mwenye sifa zaidi ya mteuliwa mtaje! wakati mwingine ni vigumu kufanya uchaguzi, ata mkapa alipata shida kumpata dr shein. na tukianza kusemeana anatoka upande gani wa Tanzania hatuta fika!
 
Back
Top Bottom