VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
by the way just seen this somewhere thought i would share..... (Waiting for the Perfect Man ?)
Still Single...., ila kuna siku tulikubaliana kwamba haya mambo unaacha maji yanafata mkondo wake... feelings zikija automatically moyo utakubali, kutakuwa hakuna hata haja ya kuuliza... (na kama love ni reciprocal unapenda na wewe unapendwa alafu you have got things in common) that will be marriage made in heaven...., Na kwa vile this is a rare event..., when am ready i will just get someone, who really loves me, even if I dont, I will learn to love her....,
kazi kweeeli, kila la kheri bro ila kwani ww umependa avatar yake au? maana kama avatar ndo yeye alivyo hata mm nakubaliana nawe la nakushauri muonane kwanza hata kwa soda then utaamua from there. Passport size sio full body so jiandae for suprises pia.
Siku na saa ikifika
pete sisi tutavalishana
Kwa radhi zake Rabukaj
Tuishi na kusikilizana
Watacheka watocheka
Na kununa watonuna
Miadi itakamilika
Tuliyoahidiana
Mohammed,
Swali la kizushi..
Hivi hiyo avatar yako...does it represent purely & real u ??
mmhh ntakujibu
ngoja niliweke hili jibu vizuri lol
Am all ears, waiting anxioulsy.....
VOR samahani ila sijui waga nakufikiriaga kama mtu mzima mwenye familia na watoto as in age 35 kwenda juu.......nahisi una busara kuliko umri wako.....lol
Ningejua..........:thinking:
VOR samahani ila sijui waga nakufikiriaga kama mtu mzima mwenye familia na watoto as in age 35 kwenda juu.......nahisi una busara kuliko umri wako.....lol
Ningejua..........:thinking:
Wadau nimeupata ule wimbo wa top queen of moroco road, unapatikana hapa
"The Way You See The Problem Is The Problem": Za Kale vs Maisha ya Sasa...TOP QUEEN
Asante sana really appreciate kumbe inabidi nibadilishe hii avatar na hili jina..., huenda nakosa mengi...., sasa tatumia hii hapa :msela:
duuuhhh
hujaonaga ile thread yake ya
kwanza kwanza ae..
jamaa ana akili na busara sana ..
aliwekaga wazi kwamba yuko single
and waiting hahahah loll