Nakusihi NILHAM RASHED

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
3,988
1,301
Najua hujaolewa ndio kwanza unaghilibiwa, nakuomba ufikiri utofautishe mapenzi niliyonayo juu yako.
Naandika huku nalia sina wakunifuta machozi enyi wanaJF hamunionei huzuni??? Wanawake wote nisaidie kwani anaemzuzua amewashusha hadhi kumkataa Michelle na kukana hadhani. Asije kuleta madhara akijakumtosa Nilham pia .......


Nisikiza Nilham nikupe yakini
Nenda na laiti na mengi ya ndani
nakupenda dhati sipati kifani

Hunijia wakati ukanijia ndotoni
Viungo vya kati vyako vya mwilini
Toka magotini kuja kifuani.

Rangi samawati yako ya machoni
Husadiki kuketi nenda kiooni
Huna tafauti na khurulaini

Nipe wako wakati Nilham tabasamu
Ishe yangu hamu inirudi fahamu
pendo kwa thamani lashinda hisani

Nilham tusitupane zitanizidi huzuni
Helo njoo tuonane tupane ilo yakini
Uliyonayo unene nijuwe ni jambo gani
Nilham umejitenga kunitia majaribuni?


Nilham nikupendae mrembo nilokuamini
Nawe usinikimbie tanitia mashakani
Ulilonalo nambie kilokuudhi ni nini?

Nilham wanipa dhiki kwa kunitosa jamvini,
Nilacho hakinishuki kikanituwa tumboni
Huchekwa na halaiki wanionao jamvini

Mwanamke uliye bora mfano wako siuoni
Imenifika hasara tangu wewe kunihuni
Macho yangu yamefura nimekuwa ugonjwani

Kishuna nihurumia hali yangu imekuwa duni
Usiku hujikeshea kwa mawazo akilini
Hukumbuka mazowea njema na zako hisani

Nilham usighurike hebu mlani shetani
Niliwaza usichoke unitowe majonzini
Mwanzo wetu ukumbuke usisahau fulani.........

Nilham jua lazama lapotea milimani
Nimechoka kusimama kukunasihi jamvini

Nilham nenda ukija mpenzi wangu wa mwanzoni
Niko pweke nakungoja mwenginewe sitamani
Kwako ningali na haja nikwambiayo amini



http://www.youtube.com/watch?v=1dxDpWq5H8Y&feature=related

Nilham sitaacha kusubiri maadam nakupenda
Subira huleta kheri huvuna mema matunda
Muhibu nina kuambia nisikize kwa makini
Sitachoka kungojea kukusubiri muhisani


Sitaona udhia nikajidhiki moyoni
Huini raha naumia na kuhisi ni duni
Itakuja siku moya tatuweka ziewoni
Muhibu nakwambia nisikize kwa makini
Sitachoka kungojea nitasubiri muhisani



Japo siku zinapita na hamu yako kuzidi
Nitapunguza mashairi na moyo uwe baridi
Utakuja kuniita, name hunu nifaidi


Sitafanya ghadhabu niingie hasirani
Lolote ni taratibu nitakula kwa makini
Nimekuwekea zababibu sitampa mtu thani


Nitakutunza nafsi nikuambiayo ya ni kweli
Usiwe na wasiwasi wakati ukiwasili
Utalila na nanasi, utamu washinda asali




 
najua hujaolewa ndio kwanza unaghilibiwa, nakuomba ufikiri utofautishe mapenzi niliyonayo juu yako.
Naandika huku nalia sina wakunifuta machozi enyi wanajf hamunionei huzuni???


Nisikiza nilham nikupe yakini
nenda na laiti na mengi ya ndani
nakupenda dhati sipati kifani

hunijia wakati ukanijia ndotoni
viungo vya kati vyako vya mwilini
toka magotini kuja kifuani.

Rangi samawati yako ya machoni
husadiki kuketi nenda kiooni
huna tafauti na khurulaini

nipe wako wakati nilham tabasamu
ishe yangu hamu inirudi fahamu
pendo kwa thamani lashinda hisani

nilham tusitupane zitanizidi huzuni
helo njoo tuonane tupane ilo yakini
uliyonayo unene nijuwe ni jambo gani
nilham umejitenga kunitia majaribuni?


nilham nikupendae mrembo nilokuamini
nawe usinikimbie tanitia mashakani
ulilonalo nambie kilokuudhi ni nini?

nilham wanipa dhiki kwa kunitosa jamvini,
nilacho hakinishuki kikanituwa tumboni
huchekwa na halaiki wanionao jamvini

mwanamke uliye bora mfano wako siuoni
imenifika hasara tangu wewe kunihuni
macho yangu yamefura nimekuwa ugonjwani

kishuna nihurumia hali yangu imekuwa duni
usiku hujikeshea kwa mawazo akilini
hukumbuka mazowea njema na zako hisani

nilham usighurike hebu mlani shetani
niliwaza usichoke unitowe majonzini
mwanzo wetu ukumbuke usisahau fulani.........

nilham jua lazama lapotea milimani
nimechoka kusimama kukunasihi jamvini

nilham nenda ukija mpenzi wangu wa mwanzoni
niko pweke nakungoja mwenginewe sitamani
kwako ningali na haja nikwambiayo amini







crap....l.o.l
 
gud decision..vunja ukimya..sio mpaka usubiri wahisan watu wa marekani
 
Pole mkuu,tangu ulivyoanza kumsifia na kumpiga senks nilijua tu ushaoza. Sasa jaribu kumpm ajue kuwa uko serious badae ndo muendele, usisahau kutupa updates!
 
pole mkuu,tangu ulivyoanza kumsifia na kumpiga senks nilijua tu ushaoza. Sasa jaribu kumpm ajue kuwa uko serious badae ndo muendele, usisahau kutupa updates!

genekai stop giving him hopes that will never come true......l.o.l
 
mbona kisha eleweka siku nyingi wewe.....

Mie sitii neno ila nachelea utakuja umbuka omba wanawake wa nyumba hii waendelee kulala maana wanakujua tabia zako. Umeshau ulivyomdhalilisha Damichelle? Si unawajua wadau wa Beijing????????? hiyo ndio silaha yangu muhimu............
 
Back
Top Bottom