Nakodisha sehemu biashara bure miezi 4

sinzaboy

Member
Sep 12, 2011
39
24
Habari wadau.

Natumaini wote wazima tunapambana kutafuta mkate.

Dhumuni langu ni kutangaza sehemu ya biashara barabarani kabisa eneo la Buyuni - Taliani (kuelekea chanika). Nakodisha eneo bure kwa biashara miezi 4 ya mwanzo. Baada ya hapo tunaingia mkataba wa kulipia kodi kwa miezi mitatu mitatu kwa makubaliano.

Sababu ya kukodisha ni kutafuta watu wenye uwezo wa kufanya biashara / kutanua biashara zao ambazo tayari zimeanza kuleta faida kutumia eneo hilo ili pachangamke.

Umeme upo, maji yapo. Hizi ni huduma utakazotakiwa kulipia kadiri biashara yako inavotumia.

Maelezo zaidi kadiri tunavyoendelea kuwasiliana hapa hapa au Dm. Chaguo ni lako.
 
habari mkuu mpaka umeamua kufqnya bure maanayake unamaana flani...kwa muona wako panafaa kuwana biashara gani hapo..
 
habari mkuu mpaka umeamua kufqnya bure maanayake unamaana flani...kwa muona wako panafaa kuwana biashara gani hapo..
Kabisa mkuu maana yangu ni kupata mtu wa kupaendeleza kibiashara ili pawe active..tena nipate mtu mwenye ujuzi wa kuendeleza biashara maana huu sio muda wa kufanya vitu kwa kujaribu mkuu.

Kwa maono yangu panafaa biashara za
. Matofali
. Kuosha magari
. Baa / Kuonyesha mpira
. Duka la spea za pikipiki / magari
. Agent wa cement
. Bwawa la samaki

Nikiweka picha utaweza kuwa na maono zaidi yangu.

Kuna mdau alikuja na wazo hadi la kuweka swimming pool kubwa kama la chuo udsm lakini gharama za kuliendesha zilimshinda.
 
Kuna fremu ngapi za biashara hapo??
Kabisa mkuu maana yangu ni kupata mtu wa kupaendeleza kibiashara ili pawe active..tena nipate mtu mwenye ujuzi wa kuendeleza biashara maana huu sio muda wa kufanya vitu kwa kujaribu mkuu.

Kwa maono yangu panafaa biashara za
. Matofali
. Kuosha magari
. Baa / Kuonyesha mpira
. Duka la spea za pikipiki / magari
. Agent wa cement
. Bwawa la samaki

Nikiweka picha utaweza kuwa na maono zaidi yangu.

Kuna mdau alikuja na wazo hadi la kuweka swimming pool kubwa kama la chuo udsm lakini gharama za kuliendesha zilimshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fremu ngapi za biashara hapo??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyumba moja kubwa ina vyumba 4 vyote self contained nakodisha kodi ya chumba 50,000 kwa mwezi. Tayari vyumba viwili vimechukuliwa bado viwili natafuta wateja.

Nyumba ya pili haijamalizika ina vyumba 3 nategemea kukodisha kwa ajili ya fremu / duka / chumba.

Na eneo la wazi kwa biashara nilizotaja hapo juu.

Napanga kesho niende kupiga picha uone wazo la biashara yako uliyopanga kama itakufaa.
 
Sipo eneo la tukio nimetuma ombi anipigie aliyepo eneo atume niziweke jamvini
Nimefanikiwa kutumiwa picha na video eneo la tukio. Quality ya picha imejitahidi.

Tafadhali angalia eneo kama litakupendeza na una idea yako nzuri karibu tuyajenge .
 

Attachments

  • IMG-20190211-WA0030.jpg
    IMG-20190211-WA0030.jpg
    28.4 KB · Views: 28
  • IMG-20190211-WA0027.jpg
    IMG-20190211-WA0027.jpg
    30.2 KB · Views: 27
  • IMG-20190211-WA0022.jpg
    IMG-20190211-WA0022.jpg
    23.7 KB · Views: 26
  • IMG-20190211-WA0037.jpg
    IMG-20190211-WA0037.jpg
    26.8 KB · Views: 25
  • IMG-20190211-WA0025.jpg
    IMG-20190211-WA0025.jpg
    32.9 KB · Views: 27
  • Buyuni video 2.mp4
    3.9 MB · Views: 14
  • Buyuni video.mp4
    2 MB · Views: 13
  • Thanks
Reactions: Ok9
Bure gharama..
Eneo bado halijachangamka mwenye nyumba anatoa frem bure kwa sababu ataki kua 'risks taker'
KWANINI?anataka uanze biashara ikichanganya tu.Unamaliza miezi yako anakutoa anaendeleza mwenyewe....
Samahani ni mtazamo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bure gharama..
Eneo bado halijachangamka mwenye nyumba anatoa frem bure kwa sababu ataki kua 'risks taker'
KWANINI?anataka uanze biashara ikichanganya tu.Unamaliza miezi yako anakutoa anaendeleza mwenyewe....
Samahani ni mtazamo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama nyie mpo wala sishangai mtazamo wako utakapoona wewe ni risk wenzako wataona opportunity.

Nna uhakika iyo sehemu ungeletwa miaka 10 ungebisha ata lami / umeme kama vingefika. Kama ingekuwa ivyo maeneo mengi hapa mjini yangekuwa stagnant mpaka leo.

So thank you for pointing out the "risks" according to your experience.
 
Back
Top Bottom